Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Oooh, ile inayowafanya mshindwe ile kazi, nasikia wanawake wa huko wanakodi wanaume KenyaGesi si Ile ya Mtwara, mbege ni ya huku Rombo.
Oooh, ile inayowafanya mshindwe ile kazi, nasikia wanawake wa huko wanakodi wanaume KenyaGesi si Ile ya Mtwara, mbege ni ya huku Rombo.
Una uhakika hatuwezi kazi?Oooh, ile inayowafanya mshindwe ile kazi, nasikia wanawake wa huko wanakodi wanaume Kenya
Hapo ktk matunzo hapo! Ngoja tuweke akiba ya maneno.Sasa alivokua anajifanya kumkana.....
Bora katoto ka shilawadu katatunzwa sasa
Punguza mapovu, una uhakika ni kwenu hizo mimba au ni za wakenya mkuuUna uhakika hatuwezi kazi?
Kwa taarifa yako takwimu zinaonyesha wilaya yetu ndiyo inaongoza kwa wanafunzi wa kike kupata ujauzito wakiwa bado mashuleni sas,a hizo mimba mlitusaidia Nyie kuwapa au zilijazwa kwa upepo?
Nawaza hatma ya tundaHapo ktk matunzo hapo! Ngoja tuweke akiba ya maneno.
Punguza mapovu, una uhakika ni kwenu hizo mimba au ni za wakenya mkuu
Poa, yote mipango ya Mungu
Aaaah wewe weka akiba ya maneno paweza kuwa ukweni kwako huku.
Ni bora yule atafutae kiki kwenye damu yake kuliko wewe unayetafuta kiki kwa vidosho wasio faida ujanani mpaka uzeeniAnatafuta Kiki.
Kitendo cha kumkubali tu ni faraja tosha, kuhusu kutunza au kuto kutunza hizo ni kasumba ya wanaume wengi wa nje na ndani ya ndoa pia!Hapo ktk matunzo hapo! Ngoja tuweke akiba ya maneno.
Picha...
Atamchukua hance mtanashatiNawaza hatma ya tunda
Ha ha ha kwakweli hance mtanashati amchukue