TANZIA Msanii wa BongoFlava, Spack afariki dunia

TANZIA Msanii wa BongoFlava, Spack afariki dunia

Spack-ft-Chidi-Benz-Usiniache-768x714.webp

R.I.P
Hii picha INAONYESHA kama kudhohofu..

Umaharufu uleta wanawake wengi hivyo usipo kua makinii duuu

Pumzika legend
 
UKijua past utachoka
Mungu tu alitutoa huko😀😀
Atakuwa sio wa siku nyingi kwenye game
Dah 😅

Ni wa kitambo enzi hizo game imeshikiliwa na Tip Top Connection na TMK Wanaume Family.

Ngoma ya kwanza maarufu ilikua yeye, Tundaman na Madee ilikua inaitwa Jela nafikiri. Ngoma ikawa kali wakaigombea yeye na Tunda yeye kwa kutaka kuonyesha ngoma ni yake akatoa remix iliyokua inaitwa Tangu Nitoke Jela.

Akatoa ngoma inaitwa Laiti kama. Ila ule ugomvi wa ngoma ya Jela ukafanya Tip Top Connection ambalo lilikua kundi lake kama vile limtenge so baada ya hizo ngoma kadhaa akawa hana sapoti.

Sapoti ikahamishwa kwa Tundaman.
 
Inasikitisha Sana.

"A House Is Not a Home", I hate this song , Is a house really a home when your loved one is gone?

It's easy to be King but it's harder to be Kong.
 
Dah 😅

Ni wa kitambo enzi hizo game imeshikiliwa na Tip Top Connection na TMK Wanaume Family.

Ngoma ya kwanza maarufu ilikua yeye, Tundaman na Madee ilikua inaitwa Jela nafikiri. Ngoma ikawa kali wakaigombea yeye na Tunda yeye kwa kutaka kuonyesha ngoma ni yake akatoa remix iliyokua inaitwa Tangu Nitoke Jela.

Akatoa ngoma inaitwa Laiti kama. Ila ule ugomvi wa ngoma ya Jela ukafanya Tip Top Connection ambalo lilikua kundi lake kama vile limtenge so baada ya hizo ngoma kadhaa akawa hana sapoti.

Sapoti ikahamishwa kwa Tundaman.
Wimbo wake wa kwanza unaitwa 'Ombi langu' huu ulimtambulisha kiasi, ukafuata 'Usiniache' aliofanya na chidi benzi huu ulimsogeza mbele sana. Baada ya hapo ikafata nation anthem kwa wakati huo, akishirikiana na 2nda man wakaachia 'nipe ripoti' wakimshirikisha Madee, baadaye alirudi na 'nipe ripoti part 2' lakini haikufanya vizuri sana
 
Back
Top Bottom