Tekno amekamatwa na Polisi baada ya picha na video kusambaa mtandaoni akisakata densi barabarani mjini Lagos akiwa na umati wa wanawake waliokuwa nusi uchi.
Kukamatwa huku kunakuja saa chache baada ya msanii huyo kuomba radhi mashabiki zake kupitia akaunti zake za kijamii.