apumzike kwa amani,jitihada kubwa zilifanyika,asante kwa jacjline wolper kwa kugharamia million 16 kwenye safari yake ya kwanza,pia serikali itajifanya kugharamia mazishi badala ya kugharamia safari ya haraka arudi kutibiwa,muda wote wamemchelewesha nilijua amefia india,kumbe muhimbili,polen bongo movie na watanzania wote