Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,446
Huyu jamaa akitamba na nyimbo nyingi kali sijui kapotelea wapi?
Nyimbo ninazozikumbuka ni
1. Bongo la Biashara akiwa na Mejja (Okonkwo)
2. Bidii Yangu
3. Kwaheri akiwa na Sanaipei Tande
Yupo wapi siku hizi, je kaacha kufanya mziki?
Nyimbo ninazozikumbuka ni
1. Bongo la Biashara akiwa na Mejja (Okonkwo)
2. Bidii Yangu
3. Kwaheri akiwa na Sanaipei Tande
Yupo wapi siku hizi, je kaacha kufanya mziki?