Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Msanii Joseph Haule (Prof. Jay) ajiunga CHADEMA

Bado Niponipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2008
Posts
680
Reaction score
168
Msanii maarufu wa bongo flava Joseph Haule aka Proffesor Jay, leo hii amejiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kukabidhiwa kadi yake ya uanachama mjini Dodoma.

Prof Jay Ajiunga Na Chadema.jpg Prof Jay Na Sugu Na Mnyika.jpg
 
Sasa harakati ndio zinapamba moto karibu prof jay umefanya maamuzi sahh sana japo umechelewa ila sio issue muda upo.. Karibu songea kumtoa nchimbi tena utamtoa kirahisi sana.. Yani yule ni mwepesi kama kishada.
 
nishawahi kumtweet kipindi fulani kuwa harakati zake na mawazo yake yanahitajika sana katika siasa zetu na yeye akaichukua tweet yangu nakure-tweet na watu wengi waliunga mkono hoja hyo....so am happy now kajiunga rasimi kwa wapigania haki
 
Kapima na kuona ni wapi panamfaa kuwepo,ni uamuzi wa makini na ni mfano bora kwa vijana wanamuziki ambao muda mwingi wamekuwa wakitumika kwenye majukwaa ya chama fulani bila kufanyiwa kile wasanii wanachokitaka,natumai kuwepo kwake CHADEMA atapambana vizuri kuhakikisha kazi za wasanii zinawasaidia na kuwaendeleza wasanii.
Karibu kamanda Joseph kwenye mapambano ya kuikomboa nchi yetu.
 
kamandaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! ANKO J PIGAA MAKOFIIIIIIIII..... MASUDI MASUDI PGA MAKOFIIIIII....SIMPLE X PIGA MAKOFIIII TAFADHALIIIIIIII....HII NI FANII ILIYO MUHIMU TUCHEZE KWA KUTAMBAAAA LAKINI KAA MBALI CHEZA MBALI NA WATOTO WANAOPENDA KUJIGAMBAAAA
 
karibu sana PROJ JAY! Karibu kwenye mapambano mazee!

Pipooooooz!
 
Back
Top Bottom