Na wale wachezaji weusi wanaozomewaga na kutupiwa ndizi uwanjani ni ivansions gani wanayofanya mpaka kutendewa vile? Na katika hilo la misaada, hakuna msaada wa bure anaotoa mzungu kwa africa bila kuwa na faida kwake! Acha kujifanya mtetezi wa waitaliano, wale kavu tu! Acha wafeNorway ni nchi inayoifadhili ama kutoa msaada mkubwa Tanzania kuliko Taifa lote Duniani wangekuwa wabaguzi kiasi hiko hiyo misaada wanatoa yanini?
Tatizo lenu watu mnaoishi Africa mmekuwa na tabia za kiarabu mkienda ulaya au America au taifa lolote lenye freedoms hadi zimepitiliza mnafanya invasions na hamuwi assimilative hicho wazungu hawakipendi wanaogopa sana maana wanajua ancient wao walifanya nini
Lakini sio jambo kuona ni kama fadhilaWakituachia tutazitumiaje ikiwa hatuna maarifa?
umeshawahi kusikia kuhusu ebola?Dah!.. yaani sisi tunaomba huu ugonjwa upotee ili maisha yarudi halafu wewe unaomba uendelee kuua binadamu wenzako?
Unafikiri huu ugonjwa ukihamia Marekani na Israel wewe utabaki salama?
Huyu kijana nasikia aliolewa italia. Ameachika?au karudi likizo mara moja? Hawa wanatuaibisha sana sisi weusi kwa mambo yao ya kifedhuli.bora tu atengwe
Mkuu agizia chochote hapo nitalipiaDunia ya sasa hamuwezi wote kujifungia nchini kwenu tu, lazima watu wakatafute fursa sehemu nyingine
Ndiyo maana wachina, wazungu, wahindi ni wamesambaa duniani kote.
Mkuu,huyo Hussein Machozi anaingia kwenye kundi la vijana wale ambao wakitoka nje ya nchi na akakosa kitu kidogo anakumbuka Tanzania na haishi kulalamika kila muda.
Kazoea angekuwa huku mara aonane na Mwajuma, Jioni akale chips zege na washkaji na akiumwa kidogo watu 100 wamepost whatsap status unatembelewa kwa kuletewa juisi na matunda kibao.
Mfano wachezaji wetu wengi walikuwa wakipata team ulaya wanarudi bila sababu za msingi. Wenzetu West Africa mtu akisonga mbele Hakuna kugeuka nyuma.
Mwamba aache kulia kama anavyoitwa machozi hapo Italy kuna vijana wadogo miaka 18-23 kutoka Africa wametulia na watakomaa mpaka mwisho bila kulia lia.
Mkuu isije kuwa unamchanganya na Madee alieimba ''Mateso zaidi ya Yesu!''Huyu Husein aliwahi kusema yeye ameteseka kuliko Yesu sasa sijui analia lia nini. Atulie corona imwingie
Oooh aisee ni kweli nimekoseaMkuu isije kuwa unamchanganya na Madee alieimba ''Mateso zaidi ya Yesu!''
Inawezekana. Nimedelete comment yangu. ThanksMkuu isije kuwa unamchanganya na Madee alieimba ''Mateso zaidi ya Yesu!''
We ni mmatengo wa wapi mkuu ?hao mi wakiumwa naonaga kawaida tu, sina huruma nao.
Tuna umaskini, njaa, UKIMWI, ebola, vita nk. sijawahi sikia wakitusikitikia, zaidi ya kupanga mipango tuzidi kufa navyo.
Mwambie arudi home huku mambo ni yenteMsanii wa Tanzania Hussein Machozi anayeishi Italia kwa sasa ambayo ndio nchi iliyoathirika zaidi na Corona ameelezea maisha ya huko ambapo amedai wamefungiwa ndani kwa mwezi mmoja sasa na maisha ni magumu
Msanii huyo amedai pia watu weusi wakiugua ugonjwa huo hawatibiwi kipaumbele wanapewa wazungu kwanza kutokana na huduma za afya kuzidiwa, pia ukiwa na umri wa zaidi ya miaka 40 hutibiwi bali wanapewa kipaumbele vijana
mie sio mmatengo, vipi kwani?We ni mmatengo wa wapi mkuu ?
Najua akina Ngongani ni wamatengo.mie sio mmatengo, vipi kwani?
Kuna jamaa yangu alijilipua na kufanikiwa kuingia Serbia, akapata kazi za part time baada ya miezi 3 karudi Bongo analalamika kule maisha magumu, upweke na amekuja kujipanga vizuri. Kaishia kuja na begi la ngozi, raba na jeans. Chenji alizobakiwa nazo ziliisha ndani ya week.Inaitwa Home Sick ‘Syndrome’.
Wenzetu akitoka ndo imeisha hiyo, atasonga mbele bila kugeuka na sana sana atawavuta na wenzake waende aliko.... sisi tunakumbuka nyumbani na washkaji au familia na kuamua kurudi.
Watanzania wengi siyo ma-fighter. Kusema kweli tumezoea maisha ya kimkanda mkanda sana. Ukienda nchi zilizoendelea utakuta wahindi wachina wanachakarika na wafrika kutoka West Africa wachakarika vibaya sana na hawalalamiki. Ukija kwa mtanzania kila siku ni kulalamika. Kazi wanasema ni ngumu, mara upweke.... Kulalamika imeshakuwa kama utamaduni wetu.Kuna jamaa yangu alijilipua na kufanikiwa kuingia Serbia, akapata kazi za part time baada ya miezi 3 karudi Bongo analalamika kule maisha magumu, upweke na amekuja kujipanga vizuri. Kaishia kuja na begi la ngozi, raba na jeans. Chenji alizobakiwa nazo ziliisha ndani ya week.
Alipofika maskani na kutupa habari hizo kila mtu alitaka ampige kofi la uso.
Saizi hata nauli ya kurudi tena imekuwa mbingu na ardhi.