Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Umeambiwa one actor wewe unatuandikia gazeti.....huko shuleni ulienda kusomea ujinga? Cc: FaizaFoxyMimi kwangu ni wasanii maana hawa jamaa hawakosei.
Tom cruise
Robert Downey Jr
Dwayne Johnson the rock
Ryan Reynolds
Samuel Jackson
Jach chan
Keanu reeves
Wa mwisho kabisa ni will smith.
Kitendo cha wewe kushindwa kuelewa nilichoandika ni sababu tosha ya wewe mwenyewe kujiuliza kama huko shule ulienda kusomea ujinga.
Alafu sijaandika ili nifurahishe wajinga fulani acha utoto.
Huyu mkojani hv watu wanampendeaga Nini? Mbona chekesha yake ya kulazimisha,anatumia nguvu nyingi sana Yan na anaongea Kama chirikuMkojani &tinwhite
Denzel Washington
Jamaa yupo vizuri!Huyu mkojani hv watu wanampendeaga Nini? Mbona chekesha yake ya kulazimisha,anatumia nguvu nyingi sana Yan na anaongea Kama chiriku
Yule mmama hana roho mbaya kama mnavyodhani, ni mtu mwema sana.Patience Ozokwah au mama D. Nollywood
Wa mwisho hapo will smith duu jamaa namkubali sana movie zake, ukija na Eddie Murphy,Mimi kwangu ni wasanii maana hawa jamaa hawakosei.
Tom cruise
Robert Downey Jr
Dwayne Johnson the rock
Ryan Reynolds
Samuel Jackson
Jach chan
Keanu reeves
Wa mwisho kabisa ni will smith.
Hivi kuna hii movie yake moja sijui ndo inatoka mwezi gani? Mr guy sijui ndo inaitwa hivyo, hivi inahusu nini?Chochote with Ryan Reynolds siulizi naangalia maana yule jamaaa ni chizi aisee haaf savage hahaha
Eeeh wasanii wa movie wapo wengi wakali Sana hila kila mmoja ana ladha yake
1:Chidwick Boseman
2:usher Raymond
3: will Smith
4:Jamie Fox
5:Michael J. Jordan
6: Denzel Washington
7:Ze Rock
8: TOM jaaa
9:statam
10: boika
For me hao ndo best kwangu.