Msanii DAMIAN SOUL ni nani?

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,753
Reaction score
71,661
Wasalaaam ndugu zangu,
Samahani nataka kujua zaidi juu ya huyu msanii.
Ametokea na anaishi wapi?
Ana nyimbo ngapi na zipi?
Meneja wake ni nani?

Amenivutia sana na ana kipaji cha kipekee kabisa.
Nimesikiliza nyimbo zake chache nimeshangaa kabisa kwanini simsikii sana kwenye anga za burudani.
Naomba msaada wa majina ya nyimbo zake.

Natanguliza shukrani.
 
Damian Soul,ni mwanamziki wa aina ya RNB ya Kibongo( soul na Pop) kwa mbali hivi,anaishi na kufanya kazi zake za kisanii Dar- Es- Salaam,jamaa anakipaji kikubwa sana maana ni kati wa wanamziki wanaojua pia kutumia vifaa vya muziki,kama Gitaa,nyimbo anazo nyingi ila sio zile nyimvo zenye kupewa rotation kutoka na watu walioshikilia industry kutokutaka aina ya muziki wake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…