Damian Soul,ni mwanamziki wa aina ya RNB ya Kibongo( soul na Pop) kwa mbali hivi,anaishi na kufanya kazi zake za kisanii Dar- Es- Salaam,jamaa anakipaji kikubwa sana maana ni kati wa wanamziki wanaojua pia kutumia vifaa vya muziki,kama Gitaa,nyimbo anazo nyingi ila sio zile nyimvo zenye kupewa rotation kutoka na watu walioshikilia industry kutokutaka aina ya muziki wake