cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,669
- 5,034
Toa mfanoKama huwa mnaangalia Ujumbe kwa nini huwa mnakesha mitandaoni mkitukana na kukejeli watu!?
Huoni hata haya Nyumbu Wewe!
Tunakesha mitandaoni na na nani kufanya nini na lini?huyu akamatwe mara moja kumtusu mkuu wa mkoa ,Hivi watanzania baadhi nani kawaloga mnataka viongoz wanamna gani makonda hana mfano chapa kazi watz tunakuelewa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo kamtukana au kasema ukweli? Unajua maana ya kutukana wewe?Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa Mkoa ni Anthony Mtaka,Chid kaongea vizuri kuwa Makonda achague vipaumbele vichache,halafu kasema wasanii wanataka pesa tu Kwani uongo?huyu akamatwe mara moja kumtusu mkuu wa mkoa ,Hivi watanzania baadhi nani kawaloga mnataka viongoz wanamna gani makonda hana mfano chapa kazi watz tunakuelewa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiliza kwa makini video. Mwisho kabisa Chidi anasema kule jela hata yeye Makonda na Rais Magufuli iko siku wanaweza kwenda
Kweli wewe. Kaz ya uspy huwez kabisa!!!!!! Watu wanaangalia ujumbe au taarifa na sio mtoa taarifa au ujumbeHivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha wewe Erythrocyte una maneno balaa.Huyu kijana asipopotea wiki hii sijui !
Sio kwa povu hili!Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata yeye ana mawazo positive na vision pia... chidi benzi licha ya kuwa madawa yamemuondoa kwenye line but thinking yake iko very strong.Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chid sikudhani kama ataongea vitu vya maana hivi.Aiseee kumbe kuna akili fulani Huwa haipotei kabisaHuyu Luke nae nahisi ubongo wake una shida,sijaona tatizo hapo linalomfanya atumie nguvu nyingi kupinga,CHID kaongea mambo ya maana sana,haijalishi ana hali gani...
Usitafsr neno moja ndg soma maneno yote upate dots!!!! Ww unamuunga mkono kisa kmzungumzia makonda!! Ingekuwa kinyume hapo tusingesikia kelele hiziSasa hapo kamtukana au kasema ukweli? Unajua maana ya kutukana wewe?