SUPERUSER
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 960
- 304
Nani Idiot...Mleta uzi au Ben Paul..?
Beni Paula
Nani Idiot...Mleta uzi au Ben Paul..?
Beni Paula
Idiot...
Wengi sana hapa bongo huwa wanakata na kupachika bila hata kusema chanzo. Shame on themmaskini kumbe tuzo zote kapata kwa kucopy yani kacopy kila kitu.......
ben pal atakunya cheche huyo
jamaa aje tu kumkamua wabongo hata hatumsaidi ben pal sana sana tutapiga
miluzi ya kushangilia kwa sana
hahahahaaaa!! kulaleki....! mwiziiiiiii!!!
nimeikumbuka sana tim ya black eyed peace (BEP) baada ya kumuona william...!
ila jamaa kajitahidi kwa kweli.. wimbo naupenda sana,... sana tu!
''anza sasa..... kutimiza malengo yako''
Aisee mi napenda ile nyimbo yao ya boom boom BEP
Nilitaka kushangaa pimbi kama ben pol kapata akili wapi ya kuandika nyimbo kama ile.sasa nimeamini
Wengi sana hapa bongo huwa wanakata na kupachika bila hata kusema chanzo. Shame on them
Siyo wana-mziki tu hata wana-siasa wanaiba kazi za watu, wengine wamefikia hatua ya kukopi hotuba ya Obama!
kama amekopi amefanya vizuri saana maaana mpaka wimbo unaanza kupotea masikioni mwa watu ndoo mnagundua amekopi , dogo mi namkubali safi sana Ben paul achana na wabongo we fanya yakoYap mimi kuna siku nilikuwa naisifia kweli Jikubali mbele ya mshakaji...
Akaniambia hiyo track amekopi nyimbo ya mbele kuanzia idea hadi melody, nikawa siamini jamaa akachukua laptop akanipigia hiyo nyimbo niliona aibu mbaya..
Hiyo nyimbo amekopi kila kitu alichobadilisha ni majina ye kaweka kina lady jaydee na zito jamaa wa marekani ametaja watu wa kwao..
Bongo bado sana.. Watu kuigilizia kila kitu
amekopi kila kitu eee kwani huyo msanii wa mbele naye aliimba kiswahili??Shida sii kumfunika mwenye wimbo, shida ni kucopy kila kitu idea na melody, na kwanini hakusema kacopy mpaka alivyoshtukiwa?