appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 4,903
- 1,647
Wewe Kama Ulipwi Sijui.... AU inaonekana uelewi maana ya kucopy . ILA TAMBUA JD, MR PAUL wamewaomba wenyewe kuzirud izo nyimbo , na hao sio wakwanza kufanya ivo hapa tz na watu tunaeleeewa hajacopy kwa kusaidia hawa pia walipata dhamana kutoka kwa wenye nyimbo na wakazirudi FA, LINAH, RAY C , JD , MR PAUL , STAMINA NA N.K na wakuwa wawaz na kusema waliongea na wamiliki wakapa dhamana ya kuzirudi izo nyimbo . KWANZA NAONA napoteza muda tu coz kunkichwa hueeleeew kabisa na mifano yako ISIOKUWA NA MIGUU , kama mtu kacopy , kacopy tu hata umteteaje
bwana mkubwa umekurukupuka kinoma noma hata ujaelewa mada hatujakataa kama hajakopy kakopy na kukopy ni kawaida si maajabu kama wa2 wananyozani ndio maana jd mr paul na nk walikop pia does nt matter kama waliomba idhini au lah si tunazungumzia kucopy tu ni kawaida no new mbona watu wanatungiwa hadi nyimbo