Kuna wasanii na wanamuziki, mtu yeyote anaweza kuwa msanii ila ni ngumu sana kuwa mwanamziki.
Barnaba, Damian Soul Na Grace Matata ni miongoni mwa wanamziki wachache tulionao katika nchi hii.
Ukiupenda mziki, utampenda Barnaba.
Lover boy, I'm sorry, Isweke, Tunafanana na washa ni miongoni mwa vibao hatari sana kutoka kwa huyo Mwamba.
Ila huwa sivutiwi na lifestyle yake.