Msange 823KJ ipo wapi?

Msange 823KJ ipo wapi?

Skillionare

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
1,190
Reaction score
528
heshima mbele wakuu natakiwa kuripoti JKT msange 823 kj ....wakuu naomba maelekezo iko pande zipi huko Tabora na usafiri mimi natokea Arusha.
 
Hiyo kambi nasikia ina mateso sana, hata bungeni imeshalalamikiwa...

Ngoja wenye kuifahamu haswa ipo Tabora kitongoji gani wakueleze..
 
Kuna gari za Arusha kwenda Tabora ila NBS ndio usafiri wa uhakika,ukifika Tabora mjini kuna mabasi yanayoelekea Ulyankulu unapanda hayo umbali ni kama km 27 kutoka Tabora mjini.Kila la heri mkuu.
 
Back
Top Bottom