Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Pdidy hunitendei haki kamanda! The old good days!! Sasa kwa hili jina am left to guess who this is!
Ila the use of 'Berto' inanikumbusha kipindi ambacho life was really good, lots of footballing, laughing and fun. Hopes were high about this country! Look at us now!
wacha tu kaka Mungu angerudisha refresher ya udsm hall 1 nadhan maisha ya kikatili ya kina dowans wala yasingetuumiza kichwa....kkaka komaa nao muda ukifika utawatell wenyewe wacha wajambiane kichama na kiserikali weka mtego wako pale pale ..nikumbuke kwenye kaufalme
Bwaaaabwaaaaa hiiiiiiiiiiggggggggghhhh ontime ma br