Msambwanda ni furaha ya macho tu

Mnawapa moyo vimbaumbau nao wanajiona sasa sio kimbaumbau kilichopitiliza mpaka ukikalalia unaona maumivu kama chaga

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Wanaopenda Misambwanda sio vijana tu. Hata sisi wazee! Na hili halijaibuka siku hizi, liko tokea miaka ya awali.
 
Neemaaaa za Allah.... achana kabisa na hiyo kitu... msambwanda ujue kuushughulikia bhanaaaaaa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…