Msambwanda ni furaha ya macho tu

Msambwanda ni furaha ya macho tu

Ndio maana mara zote mi huwa napenda vi portable, kwanza huwa najipimia mwanzo mwisho misambwanda sio dili.
Hebu piga hata mahesabu madogo, je kama gesti itawaka moto msambwanda utaweza kuubeba kukimbia nao?? Lakini kiportable unakiweka begani, ndukiii

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
ushaonaga simba anachoshwa na ukubwa wa nyumbu?

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
ushaonaga simba anachoshwa na ukubwa wa nyumbu?

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
10e9396c959cdcb88e6aabee03246990.jpg

Yeye atakubeba wewe je? Wewe utaweza kumbeba?!!!

Jamii Forums mobile app
 
Sasa kingine omba mungu usikutane na msambwanda na michirizi kama ya kuungua utakimbia ufariki kabisa.
Mtu anakuwa na michiriz kama pundamilia sipendi misambwanda napenda vipotabo kinabebeka kinapakatika na kinawekwa staili yoyote nacheza nacho nakibeba nakipeleka bafuni napiga viwili daaaaa shauri yenu mnaopenda misambwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za kutwa wadau wa mambo yetu yale,

Siku hizi kumeibuka vijana wengi kupenda misambwanda na hii imepelekea wadada wengi kutumia madawa ya kichina kuongeza makalio na wengine kupelekea kufanyiwa upasuaji.

Wanawake wanabadilika kutokana na mahitaji ya wanaume wanachovutiwa nacho kuendana na wakati ili na wao wasiwe wanakosa mtu anayewavutia.

Nikiri wazi kabisa, misambwanda inapagawisha unapokutana nayo, usipokua makini waweza kuacha njia au ukagongwa na vyombo vya moto. Lakini, unapohitaji kufaidi hivi viumbe, misambwanda sio dili.

Hivi viuno vya dondora hivi ndiko tunakoacha maisha na uhondo wenyewe, walah! Kiuno cha dondora kina mambo mengi mno.

Walah! Kiuno cha dondora utake style gani usipewe, uende goli ngapi usipewe.

Nilikua muumini mkubwa wa msambwanda, lakini nimegundua naibiwa, nahamia mtaa wa saba.
Daaaaaaa umenigusa uliposema ulikuwa muumin wa misambwanda walah mi nilikuwachungaji kabisa ila sasa siitaki haiwezekan trip moja tu ya mawe et limechoka lakin kwa dondora trip tofal trip mchanga trip mawe mpaka tunamaliza ujenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi dame wangu ni flat, lakini nainjoi mno na hata sipati taabu kwenye 'to and fro' motion.
 
Ndio maana mara zote mi huwa napenda vi portable, kwanza huwa najipimia mwanzo mwisho misambwanda sio dili.
Hebu piga hata mahesabu madogo, je kama gesti itawaka moto msambwanda utaweza kuubeba kukimbia nao?? Lakini kiportable unakiweka begani, ndukiii

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Kunywa bia mbili nalipia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom