mimi nitajibu kama lawyer mzoefu katika hii sekta.
vipengele vinavyofanya wanaume kuwa wazito kusamehe kuliko wanawake ni kama vifuatavyo:-
-mwanamke akicheat, anauza hisa zote za ndani ya nyumba na mamlaka anakuwa nayo bwana wake wa nje so mipango ya nyumbani kwako itakuwa inapangwa na njemba hostel baada ya kutoana kijasho na waifu wako. tafauti na mwanaume akicheat anakuwa yeye anangonoka tu lakini mamlaka ya nyumba yanakuwa kama kawa
- wanaume naturally wameumbwa kutokutosheka na mwanamke mmoja, hii haina ubishi kabisa. sasa limwanamke kucheat ni against nature kabisa yaani.
- mwanamke akicheat anapoteza confidence kwa mume wake, lazima maraha ya nyumbani yatapungua tu, lakini mwanaume anaweza akawa na wanawake sita na still wote wanaweza wakapata dozi na wakakimbia kwa dozi kali (reference marehemu akuku danger)
- mwanamke ameumbwa na extra uvumilivu na upendo ndio maana anabeba mimba na kulea, mwanaume ameumbwa na ukatili by nature, ndio maana wanaume wanapelekwa vitani.
konklusheni: sikatazi watu kusameheana lakini najaribu kuonesha kwamba ni ngumu kusamehe mwanamke kuliko kusamehe mwanaume kwenye hii sekta.
hehe acha nisubiri mashambulizi kwa wana beijing