Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,305
- 29,852
- Thread starter
- #21
Kwa kweli huu ni ujinga
Nilipanga niende ila baada ya kuona harufu ya siasa nikaona huu upumbavu..
Muda wa kumpa Mungu ati tuanze kusikiliza serekasi za siasa..watugeuze mazombie ya kupigia siasa zao.
Miaka yote wanakuwepo tu viongozi wa kidini,,
Mwaka huu wanapachika wanasiasa,,
Nao walivyotaka kucheza na akili za watu sasa,wameita waimbaji wenye ushawahi na kumpeleka Mwamposa ambaye kwa sasa ana ushawahi sana nchini.
Hili tamasha wasingeanza kuchapika siasa kisanii basi nahisi lingebamba zaidi ya litakavyokuwa..
huyu msama yuko kijaasiriliamali .
Amna kingine