Msama/dira mabadiliko yaanzie kwako

Msama/dira mabadiliko yaanzie kwako

MLUGO

Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
12
Reaction score
14
Hongera sana, tumeona jinsi ulivyomshambulia mmiliki mwenzio wa gazeti kuwa anadaiwa mishahara na wafanyakazi wake, Mbona wewe haujatulipa tangu Mwaka jana, tunakuandikia habari, makala, na michoro haulipi? Unatumia pesa kuhonga wabunge eti unawapa pesa za mafuta, au kusaidia vituo vya watoto yatima, lakini aibu huna haulipi mishahara hata kidogo, ndio maana gazeti lako halina waandishi wa kudumu na makala za kudumu. Kila siku unabadilisha. Mabadiliko uliyotaja kwa mwenzako, umetumia chombo chako kumshambulia mmiliki mwingine, na wewe onyesha mfano.
 
Wafanyakazi wa Dira nao wanalalamika kuwa hawajalipwa mshahara, hivi Mbowe ni mmiliki wa Kampuni ya Free Media na anahusika na mishahara au mmeamua kutumika kumchafua? Hakuna Mhariri Mtendaji katika Kampuni? Hakuna Mhariri katika gazeti hilo? Mbona Mwandishi wa dira umeandika kishabiki bila kubalance kama stori ilikuwa ya kweli au la? Je ulimpigia Mbowe akakujibu nini? Je ulimpigia Mhariri mtendaji wa Kampuni inayotoa magazeti ya Tanzania daima na Sayari akakujibu nini? Kama hukuwapigia basi unadhihirisha kuwa unatumika, na nadhani umeshalipwa ujira wako.
 
waandishi na wamiliki wote kanjanja;

Hufanyi vizuri kutukana waandishi, kwanini unawaoneka kwa kuwa wameandika kumdai Msama, Msama awalipe kwanza waandishi wake ili isionekane kuwa yeye anajua vema madeni ya makampuni ya wenzake kuliko Kampuni yake, Msama ni Mmiliki wa gazeti la Dira
 
Ni Msama huyu huyu "msanii" wa matamasha? ama kweli Mbinguni mbali sana
 
Back
Top Bottom