Msako: Yu wapi Mtikila?

Msako: Yu wapi Mtikila?

Kamuzu

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2008
Posts
993
Reaction score
309
Wana JF,
Ni kwa muda sasa nimekuwa simsikii mwanasiasa na Mchungaji wa kanisa , Christopher Mtikila. Je bado yupo ulingoni au amepigwa pin kiaina? Siasa za nchi hii bila Mtikila naona kama zinapwaya hivi, au kila zama na kitabu chake?

Nauliza kwa yeyote anayejua habari zake atujuze.
 
Wana JF,
Ni kwa muda sasa nimekuwa simsikii mwanasiasa na Mchungaji wa kanisa , Christopher Mtikila. Je bado yupo ulingoni au amepigwa pin kiaina? Siasa za nchi hii bila Mtikila naona kama zinapwaya hivi, au kila zama na kitabu chake?

Nauliza kwa yeyote anayejua habari zake atujuze.

Ngoje nitimbe kanisani kwake
 
Yule mzee hata kama akiongea mambo ya msingi yenye mustakabali kwa taifa watu wengi hawamuungi mkono maana wameleweshwa na wanasiasa kuwa ni mzee wa kesi,ana hoja nyingi za msingi kulitetea taifa.
 
wana jf,
ni kwa muda sasa nimekuwa simsikii mwanasiasa na mchungaji wa kanisa , christopher mtikila. Je bado yupo ulingoni au amepigwa pin kiaina? Siasa za nchi hii bila mtikila naona kama zinapwaya hivi, au kila zama na kitabu chake?

Nauliza kwa yeyote anayejua habari zake atujuze.
toka apate kipigo kure ukryani sasa ana heshima
 
Anasubiria CyberCrime law isainiwe aanze kupiga hela.
 
Yule mzee hata kama akiongea mambo ya msingi yenye mustakabali kwa taifa watu wengi hawamuungi mkono maana wameleweshwa na wanasiasa kuwa ni mzee wa kesi,ana hoja nyingi za msingi kulitetea taifa.


Nakubaliana na wewe Mkuu, ndiyo maana naona kipindi kama hiki anayo nafasi pana lakini haitumii. Hebu angalia swala kama la mgombea binafsi yeye ndiye muasisi na mahakama iliwahi kumpa ushindi lakini wakubwa wakawa bado wana mapingamizi, hebu na asimame SASA!
 
Aisee nimemmiss sana shujaa wangu.The lonely Do Mchungaji Mtikila.Ni muda mnuafaka wa kumtafiuta na kupima kauli zake,move zake na nini anakwenda fanya tena kuanzia hapa.Huyu mzee alitabiri sana nchi ya JK, katoa nyaraka nyingi,kapeleka kesi za kikatiba mahaamani n kashinda za kutosha.
 
Tulitenganishwa sana ..kumbe tuu watoto wa mama mmoja..na tuna adui mmoja.
 
​muda mwingine huwa namuona huyu jamaa kama zimeruka hivi kichwani
 
​muda mwingine huwa namuona huyu jamaa kama zimeruka hivi kichwani
Unahiataji kuwa kichaa kuweza sema ukweli ktk hii nchi..Waraka wake aliouandika kwa maaskofu wote ......ccm inavibrate mbon umeonekana mkuu ,na siku zilizobaki tutaona mengi sana.Wakti tunashukuru maomi yetu...WANAUSALAMA WETU WANAFANYA KAZI AISEE.
 
Wana JF,
Ni kwa muda sasa nimekuwa simsikii mwanasiasa na Mchungaji wa kanisa , Christopher Mtikila. Je bado yupo ulingoni au amepigwa pin kiaina? Siasa za nchi hii bila Mtikila naona kama zinapwaya hivi, au kila zama na kitabu chake?

Nauliza kwa yeyote anayejua habari zake atujuze.

Hivi yule Dr Kalokola aliyekuwa ametangaza nia akapokea kichapo kule Tanga baada ya kuingilia mkutano wa Lowasa sio ndugu yake?? Wanfanana kwa kila jambo
 
Back
Top Bottom