Msako wa magari yenye tinted jijini Arusha

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
918
1,994
Kwa sababu za kiusalama, Jeshi la Polisi jijini Arusha limesema muda si mrefu litaanza kukamata magari yenye vioo vyeusi (Tinted) za kuongezea. Msako utahusu magari yote yasiyoonesha watu ndani.

Wamiliki wa magari wametakiwa kuacha mara moja kuongezea mkolezo kwa sababu wakibainika watalazimika kujibu sababu za kufanya hivyo

Nimefikisha!
 
Kwani tinted pia inatumika kupeleka rambirambi kwa wafiwa?! Kukosa ubunifu wa kazi ni tatizo..
 
Hakuna sheria kwa swala hilo, huwa wananisimamisha nawauliza mnasimamia sheria gani ? gari zingine vioo vya ubavun automatically vinakuja vikiwa na tinted, vioo vya mbele ndio wanaweza kutubana kidogo sio kivile
 
Back
Top Bottom