Trump's account on African leaders is very true although piercingly painful. The aim of many of our leaders is accumulating wealth and fame.Donald Trump: “There Is No Shortcut To Maturity, Africa Should Be recolonized
Speaking yesterday in Nebraska, Trump said that Africans are slaves living like slaves in their own land yet they claim they are independent.
Trump was responding to a question by a South African journalist on whether he thinks African leaders were right to seek mass withdrawal from the Hague based International Criminal Court.
“It is shameful for African leaders to seek exit from ICC. In my view, these leaders want to have all the freedom to oppress their poor people without anyone asking them a question. I think there is no shortcut to maturity and in my view, Africa should be recolonized because Africans are still under slavery. Look at how those African leaders change constitutions in their favour so that they can be life presidents. They are all greedy and do not care about the common people” Said Trump
“When I saw them gang up against ICC yet they can’t even find an amicable solution for the ongoing quandary in Burundi, I thought to myself these people lack discipline and humane heart. They can’t lead by example. The only thing they are interested in is accumulating wealth from poor tax payers. Before they think of exiting from ICC, they should first restore peace in Burundi and other war-torn countries rather than gathering like hyenas with the aim of finishing the poor people” Added Trump.
���� truth hurts
Forwarded as received
Bora nife rofa badala ya kuinajisi taaluma yangu kwa faida ya wengine. Yaya gete.
umenena mkuu, sasa hivi cuf ya seif kufanya hivyo ni mapema sana, nadhani ndio kitakachotokea 2020, na cuf itarudi kule kule kukosa viti takriban vyote, kwani wanayofanya akina lipumba tunayaona na tumekaa kimya tu tunasubiri mudaDawa nzuri ambayo anatakiwa kumfanyia lipumba huyu maalum akivunje cuf visiwani awashauri wafuasi wake wrote wahamie chadema waivunje cut visiwani waone kama lipumba atakanyaga Pemba hataijenga itakuwa cuf bara visiwani haipo kwa hiyo itakuwa rahisi kuifutia usajili na lipumba ataenda ccm
ndio yale ya mdee kusema kuna watu wana phd za hovyoBarua haimtambui maalim kama katibu mkuu alafu hiyo hiyo barua inamtambua maalim kama katibu mkuu.
Tz bado hatujabarikiwa
Angeawafuta uwanachama wale wabunge wa kuchaguliwa kwanza waliofunguwa ofisi yao mpya. Hana uwezo huo kwa sababu anajuwa impact yake itakuwa ni kubwa mno kwa maslahi ya nchi. Anachofanya Lipumba na wanaomtuma ni kuzorotesha CUF na sio kuiuwa kwa sasa hivi. Na kama kweli walitaka kuiuwa angefukuza wabunge wote ambao hawamuungi mkono, ruzuku atazitowa wapi na ndizo anazolilia?
Cuf ya Lipumba itabebwa na ccm kwenye uchaguzi wa 2020 lakini kwa hakika watapoteza viti vingi na mpangi wa ccm utakuwa umefanikiwa!umenena mkuu, sasa hivi cuf ya seif kufanya hivyo ni mapema sana, nadhani ndio kitakachotokea 2020, na cuf itarudi kule kule kukosa viti takriban vyote, kwani wanayofanya akina lipumba tunayaona na tumekaa kimya tu tunasubiri muda
nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
ndio hilo mkuu, pa1 na kubebwa lakini waamuzi ni sisi wananchi tunaoona hizi rafu, manake sielewi siku akienda pemba itakuwaje, niliwahi kusikia akienda unguja gari za watawala zinaenda mchukua mlangoni mwa ndege na kutoka nje na vile vile akirudi gari linaenda mpaka mlangoni mwa ndege, niliwahi ona uzi humu ndani shuhuda 1 akisema aliyeona, sasa hapo kuna nini, kwanini watawala ndio waende wampokee tena kwa kufanya siri wakati wananchi wanaona, naomba hizo njama wazijaribu na kwa chademaCuf ya Lipumba itabebwa na ccm kwenye uchaguzi wa 2020 lakini kwa hakika watapoteza viti vingi na mpangi wa ccm utakuwa umefanikiwa!
Msajili anamtambua Lipumba kama mwenyekiti halali wa kafu, mwenyekiti halali Lipumba anamtambua Maalim Seif kama katibu halali na ndio maana anamwambia aende ofisini Buguruni akampangie kazi alafu Msajili huyo huyo hamtambui Maalim Seif kama Katibu halali wa Kafu, hivi ile topiki ya hesabu za lojiki form five inaitwaje tena? Sikumbuki kama nilifaulu au nilikuwa sielewi hesabu enzi zile kabisa[/QUOTconjunctive
Uko sahihi, kwa sasa Sefu hatambuliki kokote maana Lipumba ametuma barua kila sehem akionyesha ofc ya Katibu Mkuu ipo chini ya Sakaya. Kwa Sasa sefu kabaki na kadi ya uanachama tu. Sema wanaogopa kumfukuza.Ukicheka na Nyani utavuna mabua..
Nadhani jaji mtungi hajitambui kwa sababu barua kaandika kwenda kwa katibu mkuu wakati huo huo katika maelezo yake eti hamtambui katibu mkuu, kichefuchefu kweliJF Kwenu,
Msajili wa vyama vya siasa nchini jaji Francis Mutungi amepinga maamuzi ya Chama cha Wananchi (CUF) kuwafukuza uanachama wabunge wawili wa chama hicho, Magdalena Sakaya na Maftaha Nachuma na kusema Maalim Self hatambuliki kama katibu mkuu wa CUF.
Msajili wa Vyama vya Siasa amesema hayo leo wakati akijibu barua iliyowasilishwa ofisini kwake na katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad ikimtaka msajili huyo kuwavua nafasi ya ubunge viongozi hao.
Wazo; Nadhani Maalim Self anamtega jaji Mutungi.
=======
View attachment 556612
View attachment 556613
Mtungi wa Pombe umeingiliwa na Siafu..Mutungi ametia najisi nafasi ya ujaji
Suala sio kutambulika, suala ni anayetekeleza majukumu ya katibu mkuu. Msajili anamtambua Seif kama ktb mkuu Bali hatambui kama amesharudia katika majukumu yake yaliyokaimishwa kwa Sakaya. OverLipumba anamtambua Maalimu lakini msajili hamtambui Maalimu? huyu naye kweli alikuwa Jaji kabisa na alikuwa anatunzwa kama Jaji?
Umechemka. Anamtambua vizuri kama ktb mkuu Ila nje ya ofisi maana majukumu alikaimishwa Sakaya. So mpaka ukaimu utenguliwa ndipo at a exercise duties. May be yupo likizo ama mgonjwa;mambo ambayo hayamfanyi kupoteza ukatibu mkuu wake.Nadhani jaji mtungi hajitambui kwa sababu barua kaandika kwenda kwa katibu mkuu wakati huo huo katika maelezo yake eti hamtambui katibu mkuu, kichefuchefu kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa na kuhaibishi taifa letu. Huwa najiuliza hawa watu wanao tutia aibu siku hizi kweli wamesoma na kuishi taifa hili likiongozwa na baba wa taifa? Kuanzia rais wao ni uozo mtupu.
Uko sahihi, Maalim kwa sasa si chochote wala lolote, sema wanaogopa kumfukuza. For the time being he is a toothless dog...!WASOMI NA WAELEWA TU WATAUNGANA NAMI.
Mutungi yuko sahihi. Anamtambua Seif kama ktb mkuu, Ila ktb mkuu aliye nje was utekelezaji wa majukumu. Mfano mtu akiwa mgonjwa, safarini au masomoni kisha akakabidhi au kukaimisha majukumu. Sakaya alikaimishwa tu, na hii haimfanyi Seif kupoteza cheo chake bali hatoweza kutekeleza majukumu yake mpaka pale barua iliyomkaimisha Sakaya itakapotenguliwa kwa barua ya kuyarudisha majukumu kwa Seif itakapowasilishwa na mwenyekiti maana barua yoyote ya Seif kwa sasa kabla ya kutengua ile iliyomksimidha sakaya haina uzito