PreGE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa aipa wiki moja CHADEMA ijibu barua ya Mchome

PreGE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa aipa wiki moja CHADEMA ijibu barua ya Mchome

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Cdm wasiache washikilie hapo hapo No reforms na election. Lazima vibaraka wa ccm wote wajitokeze.
Chadema wana akili sana.

Wanasheria wote wabobezi nchi hii wapo CHADEMA. Wanamuangalia tu Msajili anavyoingia chaka na wapuuzi wenzake waliowekwa na CCM.

Hili suala halina mantiki yeyote wanazidi kuwafanya wananchi wajue kweli kuna shida kwenye mfumo wa Sheria za Uchaguzi na Demokrasia kwenye nchi hii.

Wamepigwa upofu ili wasione mbele.
 
Tundu Lissu kama Namuona vile... Ndiyo michezo yake kucheza na vifungu... Mchome ataambulia umaarufuu tu..
Atapigwa na huyo msajili wake watadharauliwa hadi na vizazi vyao vya nne.

Kwa namna watapigwa na CHADEMA itafika kipindi wajinga hawataitwa tena vihiyo bali Mutungi na Mchome
 
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetoa muda wa wiki moja kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kiwe kimewasilisha maelezo kuhusu malalamiko ya mjumbe wa Baraza Kuu wa chama hicho, Lembrus Mchome.

View attachment 3281915
Mchome aliwasilisha malalamiko kwa msajili wa vyama akilalamikia kikao cha Baraza Kuu Taifa kilichofanyika Januari 22, 2025 kwamba kilikuwa batili kwa sababu hakikutimiza masharti ya Katiba ili kuwa kikao halali.

Soma, Pia: Team Mbowe wajidhatiti kumkwamisha LISSU, wapinga uteuzi wa Wajumbe watano wa kamati kuu aloufanya Lissu, waandika Barua kwa msajili wa Vyama

Pia, Mchome alidai kikao hicho ndani ya ukumbi walikuwepo wanachama ambao siyo wajumbe na baadhi ya watu hao walipiga kura kinyume na matakwa ya katiba ya chama hicho.

View attachment 3281919
Barua iliyosainiwa na Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza imekitaka Chadema kujibu barua ya Mchome kwa muda usiozidi Machi 31, 2025.

Soma:

Chanzo: Mwananchi
Hivi huyu mla rushwa Mutungi kwa nini hajastaafu? Umri wake ni zaidi ya 65. Tunaomjua tangu ujana wake, ni aibu kwa taifa kuwa na mtu kama yule kwenye ofisi kubwa ya umma
 
Hivi huyu mla rushwa Mutungi kwa nini hajastaafu? Umri wake ni zaidi ya 65. Tunaomjua tangu ujana wake, ni aibu kwa taifa kuwa na mtu kama yule kwenye ofisi kubwa ya umma
Anavuta bangi tangu akiwa msajili pale Mahakama Kuu,ni fedheha kuwa na mtu wa aina yake kwenye ofisi ya Serikali.
 
Huyo mchome anataka nini, kama vipi achomolewe anaturudisha nyuma
Huyu mpumbavu Mchome haijui vizuri CCM, wanamtumia kuleta mgogoro ndani ya Chadema halafu wanamtumia wasiojulikana kumuua kisha waisingizie Chadema. Kama kuna ndugu yake Mchome humu wamuonye anatumiwa kama chambo auwawe halafu waseme Chadema imemuua. CCM ni Chama Cha Mashetani.
 
Huyo Mchome alikuwa wapi enzi za Mwamba?
 
Huyu mpumbavu Mchome haijui vizuri CCM, wanamtumia kuleta mgogoro ndani ya Chadema halafu wanamtumia wasiojulikana kumuua kisha waisingizie Chadema. Kama kuna ndugu yake Mchome humu wamuonye anatumiwa kama chambo auwawe halafu waseme Chadema imemuua. CCM ni Chama Cha Mashetani.
Ndugu zake waandae matanga tu huyu lazima ataliwa kichwa na kikosi kazi cha Mafwele.
 
Kinacholalamikiwa kuwa itafaki haikutimia kwa wajumbe kutimia? Sasa ikitokea kukubalika kuwa itifaki haikutimia na uteuzi ufanyike tema, m/kiti hawezi kuwachaguwa watu walewale aliowachagua kabla? Na kama inawezekana kwanini tunalumbana na mambo ya kijinga?
 
Tundu Lissu kama Namuona vile... Ndiyo michezo yake kucheza na vifungu... Mchome ataambulia umaarufuu tu..
Huyu mchome anajichanganya. Hivi uteuzi wa katibu mkuu wa chama ni uchaguzi? Halafu anaokoteza taarifa. Wenzao Wana list ya waliohudhuria kimaandishi, yeye anaangalia sura
 
Kinacholalamikiwa kuwa itafaki haikutimia kwa wajumbe kutimia? Sasa ikitokea kukubalika kuwa itifaki haikutimia na uteuzi ufanyike tema, m/kiti hawezi kuwachaguwa watu walewale aliowachagua kabla? Na kama inawezekana kwanini tunalumbana na mambo ya kijinga?
Hakuna lolote hapo ni kampeni yano reforms no election tu.
Mbona hatuhasikia makala akiitwa?
Kule Dodoma ccm walivunja katiba waziwazi huyo msajili alikuwa wapi?
No reforms no election
 
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetoa muda wa wiki moja kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kiwe kimewasilisha maelezo kuhusu malalamiko ya mjumbe wa Baraza Kuu wa chama hicho, Lembrus Mchome.

View attachment 3281915
Mchome aliwasilisha malalamiko kwa msajili wa vyama akilalamikia kikao cha Baraza Kuu Taifa kilichofanyika Januari 22, 2025 kwamba kilikuwa batili kwa sababu hakikutimiza masharti ya Katiba ili kuwa kikao halali.

Soma, Pia: Team Mbowe wajidhatiti kumkwamisha LISSU, wapinga uteuzi wa Wajumbe watano wa kamati kuu aloufanya Lissu, waandika Barua kwa msajili wa Vyama

Pia, Mchome alidai kikao hicho ndani ya ukumbi walikuwepo wanachama ambao siyo wajumbe na baadhi ya watu hao walipiga kura kinyume na matakwa ya katiba ya chama hicho.

View attachment 3281919
Barua iliyosainiwa na Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza imekitaka Chadema kujibu barua ya Mchome kwa muda usiozidi Machi 31, 2025.

Soma:

Chanzo: Mwananchi

Wameanza kama kawaida yao. Wanawatafutia Chadema mgogoro.

Mbona yule aliyedai Samia na Nchimbi hawakuchaguliwa kikatiba hawajawambia CCM wamjibu.

Anyway, Mnyika slishayolea ufafanuzi hilo. Hivyo ni swala tu la kuweka kwenye maandishi.
 
Na yule aliyesema Chadema watasambaza Ebola kapewa wiki ngapi athibitishe tuhuma zake? 😅
 
Back
Top Bottom