Mwene chungu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 915
- 752
Embu angalia haka kamchezo, BWANA YULE aliachia madaraka ya uenyeki taifa, baadae akarudi wakati CUF wakiwa wamejipanga vinginevyo serikali kupitia Msajili wa vyama ikaingilia kati kuwa ati inamtambua BWANA YULE.
Embu iingilie kati kufukuzwa kwa wanachama wa CCM pia, si inauwezo wa kuingilia mambo ya vyama.
Embu iingilie kati kufukuzwa kwa wanachama wa CCM pia, si inauwezo wa kuingilia mambo ya vyama.