johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Nimemsoma Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Boniface Jacob akidai mikutano ya CHADEMA wanapendeza kwa kupigilia pamba ila ile ya CCM na zile kijani inakuwa kama shamba la Migomba.
Ni vema Jaji Mutungi ukamkemea huyu kijana maana kampeni bado lakini ameshaanza kutoa lugha za kuudhi na kukera.
CCM na Migomba wapi na wapi?
Nimemkuta kule Twitter amenichefua sana.
Maendeleo hayana vyama!
Ni vema Jaji Mutungi ukamkemea huyu kijana maana kampeni bado lakini ameshaanza kutoa lugha za kuudhi na kukera.
CCM na Migomba wapi na wapi?
Nimemkuta kule Twitter amenichefua sana.
Maendeleo hayana vyama!