Msajili aomba Mwongozo CHADEMA

Daima CHADEMA mbele, uasi na uhaini wa Prezzo Matunguri (Zitto) hautupi shida maana dawa ya mchawi ni kumkabidhi mtoto.
 

Wanatusingizia na kutubambikizia kesi ni akina Mbowe? Wanaotulipua na mabomu mikutanoni ni akina Mbowe? Acha ujuha wewe!
 
Duh JF Rocks.....

ben tuishauri chadema imshitaki kapuya kwa kuwa serikali yake inamuogopa tumsaidie yule bint nimeweka thread humu kuishauri cdm kumshitaki kapuya kaiondoa kupitia mods wasio waaminifu cdm ikifanikiwa kwa hili italeta imani kubwa kwa wananchi tuanze kutetea mwananchi mmoja mmoja kupitia jopo letu la wanasheria mahiri
 
Nimeamini kwamba kweli waTanzania mfumo wa 'zidumu fikra za mwenyekiti' unatudumaza sana.Kama kweli CHADEMA wameondoa kipengele cha ukomo wa uongozi katika katiba ya chama hilo ni TATIZO,huwezi kukiweka chama kama taasisi ya watu wachache.Unapokosolewa badilika,CHADEMA tusijifanye MIUNGU watu.
 
Msajili mwenyewe anaitegemea CHADEMA, so Mwiogamba na wasaliti wenzenu kaeni mkaa wa kufukuzwa kama kukuwa kienyeji...
 
Inafurahisha pale ambapo wenye taaluma yao wanaitumia vizuri
 

Wewe Mfuasi wa Lumumba huna hadhi ya kushauri Chadema.
 
Msajili mwenyewe anaitegemea CHADEMA, so Mwiogamba na wasaliti wenzenu kaeni mkaa wa kufukuzwa kama kukuwa kienyeji...

Walitarajia msajili aombe maelekezo Lumumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…