Msajili aomba Mwongozo CHADEMA

Msajili aomba Mwongozo CHADEMA

Mbeba sumu huwa unalipwa kiasi gani kwa post?

Last week nilikuwa maeneo ya boko nilikutafuta wakaniambia uko bize sana...

Ndugu Lukosi unajidharaulisha sana kwa umri wako na kauli unazotoa,jaribu kua mjenga hoja,umri wako haupaswi kua na fikra na kauli za kitoto tena za mtoto ambae bado hajajitambua
 
Mbona hakusikika kipindi cha nyuma?

Kwa Taarifa yako tu huyu ni Katibu Mtendaji ofisi ya Katibu Mkuu kwa muda mrefu.

Sasa hivi anakaimu Ukatibu Mkuu kwa kuwa Dr Slaa hayupo Ofisini.
 
Ili watanzania wafanye mabadiliko, ili waweze kufanikiwa kuiweka serikali itakayowatimizia matarajio yao ni lazima ccm iondilewe madarakani.

Haya mambo ya kujadili kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chadema, tena na wanaccm ni kujaribu kuchelewesha harakati za watanzania kufanya mabadiliko, jaribio ambalo limeshindwa vibaya, watanzania wamewapuuza ccm na vibaraka wao
 
Ufisadi CHADEMA tukiyajibu haya 2015 asubuhi tunachukua nchi
FREEMAN MBOWE, KIONGOZI ALIYEFANIKIWA KUIFISIDI CHADEMA KWA KUWAAMINISHA WANACHADEMA KUWA MIGOGORO YOTE INAYOTOKEA CHADEMA NI MPANGO WA CCM


Mara zote Mbowe na Slaa wakiulizwa kuhusu migogoro inayoendelea Chadema wao jibu lao ni moja tu “Ni mipango ya CCM kutuvuruga Chadema ni tishio kwao”


Mwanachademe unayejitambua jibu haya:


1. Hivi CCM wanahusikaje na kunyofolewa kinyemela kwa kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chadema? (Je Mbowe anatumika pia?)


2. CCM wanahusikaje na suala la Mbowe na Slaa kujikopesha ruzuku?


3. CCM wanahusikaje na kuchagua wabunge wa viti maalum Chadema kwa udugu?


4. CCM inahusikaje na suala la Chadema kutokukaguliwa mahesabu yake?


5. CCM inahusikaje na mradi wa uchangishaji wa M4C kutokuwa na ripoti yoyote / mrejesho wowote kwa wanachama wa chadema?


Hapa utaona kinachofanyika ni viongozi wa juu wa chadema kuitumia CCM kama kichaka cha kuficha ufisadi wao kwani kila anayeonekana kuzungumzia mapungufu na ufisadi wao anaitwa Msaliti/mhaini anatumiwa na CCM.


5. Hamuoni kuwa Mbowe anaitumia CCM kuficha ufisadi wake ndani ya Chadema ?

Ukilala usiku unajihesabia leo umepost kitu kumbe uharo
 
Ili watanzania wafanye mabadiliko, ili waweze kufanikiwa kuiweka serikali itakayowatimizia matarajio yao ni lazima ccm iondilewe madarakani.

Haya mambo ya kujadili kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chadema, tena na wanaccm ni kujaribu kuchelewesha harakati za watanzania kufanya mabadiliko, jaribio ambalo limeshindwa vibaya, watanzania wamewapuuza ccm na vibaraka wao

Mkuu wangu Tena wameumbuka vibaya.

CCM na vibaraka wao waliofukuzwa wamechanganyikiwa vibaya.
 
Kati ya hawa MM(s), huyu Mwigamba ndiye muathirika mkubwa zaidi hasa kisiasa, KIUCHUMI na kijamiii.
 
Chadema jibuni hoja kwanini mmechakachua kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba

Unataka wakujibie wapi? na unataka majibu gani zaidi ya yaliyotolewa. ushabiki wa kipuuzi na mihemko ya kike ni utumwa sana. mnaacha kijadili hoja mnajkita kwenye 'ukike' tu. hivi mtakomaa lini vijana? sasa kama unamajibu yako si jiridhishe kwa uliyonayo. get matured.
 
Mwi-Gamba anamwandikia barua msajiri; so what!

Angoje tu hukumu yake ya usaliti
 
Mwi-Gamba anamwandikia barua msajiri; so what!

Angoje tu hukumu yake ya usaliti, uanachama wake Na Chadema mwisho.
 
Ufisadi CHADEMA tukiyajibu haya 2015 asubuhi tunachukua nchi
FREEMAN MBOWE, KIONGOZI ALIYEFANIKIWA KUIFISIDI CHADEMA KWA KUWAAMINISHA WANACHADEMA KUWA MIGOGORO YOTE INAYOTOKEA CHADEMA NI MPANGO WA CCM


Mara zote Mbowe na Slaa wakiulizwa kuhusu migogoro inayoendelea Chadema wao jibu lao ni moja tu “Ni mipango ya CCM kutuvuruga Chadema ni tishio kwao”


Mwanachademe unayejitambua jibu haya:


1. Hivi CCM wanahusikaje na kunyofolewa kinyemela kwa kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chadema? (Je Mbowe anatumika pia?)


2. CCM wanahusikaje na suala la Mbowe na Slaa kujikopesha ruzuku?
Hivi Kikwete na Kinana wa CCM hawajikopeshi ruzuku yao? Au CCM hawapati ruzuku?

3. CCM wanahusikaje na kuchagua wabunge wa viti maalum Chadema kwa udugu?


4. CCM inahusikaje na suala la Chadema kutokukaguliwa mahesabu yake?


5. CCM inahusikaje na mradi wa uchangishaji wa M4C kutokuwa na ripoti yoyote / mrejesho wowote kwa wanachama wa chadema?


Hapa utaona kinachofanyika ni viongozi wa juu wa chadema kuitumia CCM kama kichaka cha kuficha ufisadi wao kwani kila anayeonekana kuzungumzia mapungufu na ufisadi wao anaitwa Msaliti/mhaini anatumiwa na CCM.


5. Hamuoni kuwa Mbowe anaitumia CCM kuficha ufisadi wake ndani ya Chadema ?

Mmm wewe noma kweli!!!
 
Back
Top Bottom