utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Mrema au?Mbona humtaji na Shosti aliyefukuzwa Bavicha?
Mrema au?Mbona humtaji na Shosti aliyefukuzwa Bavicha?
Msigwa wa iringa mjini ndio hula rambirambi halafu anajifanya mchungaji, mchungaji wa mifugo?Kaka nasikia unasubiriwa kwa hamu utie maguu kule ulikokula rambi rambi za marehemu lol..
Good.........!
Ameanza utekelezaji kwa kufuata taratibu
Wewe utatembea na sumu hadi kifo chakoNi vizuri Msajili ameomba ufafanuzi maana walitegemea atafanya kazi kwa hisia zao
Sidhani kama Msajili angekua mjinga maana Moto wa CHADEMA anaujua.Ni lazima afanye kazi kwa taratibu na kuweka wazi kila hatua vinginevyo.....!
Mkakati wa mabadliko 2013.Ni vizuri Msajili ameomba ufafanuzi maana walitegemea atafanya kazi kwa hisia zao
Sidhani kama Msajili angekua mjinga maana Moto wa CHADEMA anaujua.Ni lazima afanye kazi kwa taratibu na kuweka wazi kila hatua vinginevyo.....!
Wewe utatembea na sumu hadi kifo chako
Kwa hiyo mnalisha watu sumu bure halafu jasho lenu mabwana zenu wanaenda kuvinjari na mahawara dubaivCDM hatulipwi na mtu,tunafanya kazi kwa mapenzi yetu wenyewe! Tofautisha CDM na chama cha MIZIGO tafadhali.Lipaneni tu BK 7 hapo lumumba lakini tambueni 2015 baada ya kutoka madarakani mtasota sana na nawashauri wale lumumba fc waanze kutafuta ajira mapema.
Pole sana. Mnalo mwaka huu.jibuni hoja za mkakati wa mabadiliko na zile za mwigamba. Ww utaishia ku brush viatu vya bwana hadi uzeeni mchumia tumbo weweJadili mada ni si kujifanya poyoyo! sh.nziii mzigo wewe
Ufisadi CHADEMA tukiyajibu haya 2015 asubuhi tunachukua nchi
FREEMAN MBOWE, KIONGOZI ALIYEFANIKIWA KUIFISIDI CHADEMA KWA KUWAAMINISHA WANACHADEMA KUWA MIGOGORO YOTE INAYOTOKEA CHADEMA NI MPANGO WA CCM
Mara zote Mbowe na Slaa wakiulizwa kuhusu migogoro inayoendelea Chadema wao jibu lao ni moja tu Ni mipango ya CCM kutuvuruga Chadema ni tishio kwao
Mwanachademe unayejitambua jibu haya:
1. Hivi CCM wanahusikaje na kunyofolewa kinyemela kwa kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chadema? (Je Mbowe anatumika pia?)
2. CCM wanahusikaje na suala la Mbowe na Slaa kujikopesha ruzuku?
3. CCM wanahusikaje na kuchagua wabunge wa viti maalum Chadema kwa udugu?
4. CCM inahusikaje na suala la Chadema kutokukaguliwa mahesabu yake?
5. CCM inahusikaje na mradi wa uchangishaji wa M4C kutokuwa na ripoti yoyote / mrejesho wowote kwa wanachama wa chadema?
Hapa utaona kinachofanyika ni viongozi wa juu wa chadema kuitumia CCM kama kichaka cha kuficha ufisadi wao kwani kila anayeonekana kuzungumzia mapungufu na ufisadi wao anaitwa Msaliti/mhaini anatumiwa na CCM.
5. Hamuoni kuwa Mbowe anaitumia CCM kuficha ufisadi wake ndani ya Chadema ?
Hii tabia yako ya kutumia picha ya Kapuya kwenye avatar yako inakera sana ujue!
Kibaraka kazini
Pole sana. Mnalo mwaka huu.jibuni hoja za mkakati wa mabadiliko na zile za mwigamba. Ww utaishia ku brush viatu vya bwana hadi uzeeni mchumia tumbo wewe
Kwa hiyo mnalisha watu sumu bure halafu jasho lenu mabwana zenu wanaenda kuvinjari na mahawara dubaiv
Ufisadi CHADEMA tukiyajibu haya 2015 asubuhi tunachukua nchi
FREEMAN MBOWE, KIONGOZI ALIYEFANIKIWA KUIFISIDI CHADEMA KWA KUWAAMINISHA WANACHADEMA KUWA MIGOGORO YOTE INAYOTOKEA CHADEMA NI MPANGO WA CCM
Mara zote Mbowe na Slaa wakiulizwa kuhusu migogoro inayoendelea Chadema wao jibu lao ni moja tu Ni mipango ya CCM kutuvuruga Chadema ni tishio kwao
Mwanachademe unayejitambua jibu haya:
1. Hivi CCM wanahusikaje na kunyofolewa kinyemela kwa kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chadema? (Je Mbowe anatumika pia?)
2. CCM wanahusikaje na suala la Mbowe na Slaa kujikopesha ruzuku?
3. CCM wanahusikaje na kuchagua wabunge wa viti maalum Chadema kwa udugu?
4. CCM inahusikaje na suala la Chadema kutokukaguliwa mahesabu yake?
5. CCM inahusikaje na mradi wa uchangishaji wa M4C kutokuwa na ripoti yoyote / mrejesho wowote kwa wanachama wa chadema?
Hapa utaona kinachofanyika ni viongozi wa juu wa chadema kuitumia CCM kama kichaka cha kuficha ufisadi wao kwani kila anayeonekana kuzungumzia mapungufu na ufisadi wao anaitwa Msaliti/mhaini anatumiwa na CCM.
5. Hamuoni kuwa Mbowe anaitumia CCM kuficha ufisadi wake ndani ya Chadema ?
Ni vizuri Msajili ameomba ufafanuzi maana walitegemea atafanya kazi kwa hisia zao
Sidhani kama Msajili angekua mjinga maana Moto wa CHADEMA anaujua.Ni lazima afanye kazi kwa taratibu na kuweka wazi kila hatua vinginevyo.....!
Victor Kimesera kwa maana hio amechukua nafasi aliyokua nayo zitto?
Mkakati wa mabadliko 2013.
Hapana mkuu.Yeye ni Kaimu Katibu Mkuu na siyo Naibu Katibu Mkuu.