nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Kweli kabisa wanawake wengi waliokuwa cheated wanapata tabu sana kuenjoy sex unless wale wanaoweza kuji condition kuwa they are doing it kujipa raha wenyewe. Mimi naona ni suala la kisaikolojia zaidi Maana unasema anastop on the way meaning kuna kinachomfanya agaili kufika. Jiulize kama umeshawahi kumcheat au hata kama hujawahi kumcheat inawezekana yeye anakuhisi vibaya tokana na mienendo yako. You need to talk. Nimeshatembeea blogu nyingi watu wengi waliokuwa cheated wanalalamika kuwa feelings kwa wame zao zimekwisha kabisaaa; sasa watu kama hao usitegemee utawafikisha hata ufanyeje.
Wababa msidhani kuwa mapenzi ya wake zenu yako guaranteed as long as they are still married to you. Mkichezea feelings zao hayo ni moja ya matokeo.
This may go both ways. Mwanamke anayetoka nje sidhani kama anaweza kufikishwa na mumewe kwani sisi wanawake tuna uwezo wa kumpenda mtu mmoja tu at a time hata hao mnaoona wanawapanga foleni jueni fika kuwa either both of you ni mnatumiwa au kuna mmoja ambaye ni chaguo. Sasa mwanamke akiwa na affair nje inaweza mfanya awe analia kama hivyo amekuwa mtumwa wa kidumu huku ana guilt consciousness.
Wewe unajijua kama unamwenendo mbaya au la. Kama unaona uko okay mchunguze wife.
Wababa msidhani kuwa mapenzi ya wake zenu yako guaranteed as long as they are still married to you. Mkichezea feelings zao hayo ni moja ya matokeo.
This may go both ways. Mwanamke anayetoka nje sidhani kama anaweza kufikishwa na mumewe kwani sisi wanawake tuna uwezo wa kumpenda mtu mmoja tu at a time hata hao mnaoona wanawapanga foleni jueni fika kuwa either both of you ni mnatumiwa au kuna mmoja ambaye ni chaguo. Sasa mwanamke akiwa na affair nje inaweza mfanya awe analia kama hivyo amekuwa mtumwa wa kidumu huku ana guilt consciousness.
Wewe unajijua kama unamwenendo mbaya au la. Kama unaona uko okay mchunguze wife.
Huyu mke wako anasaikological problem,hii inatokana pale mtu unapofanyiwa kitu ambacho hukua unakitaka au hukutegemea kingetokea na mara nyingi kitu chenyewe ni kibaya. Hebu jaribu kufikiria mke wako hajawahi kukufumania au kukuta na mwanamke mwingine katika mazingira ya utata?
Au kuhisi? Ningeweza kusema hakupendi lakini umesema mwanzoni mambo yalikua fresh lakini akaja badilika,Kwa upande wa pili wa shilingi inawezekana akawa amepata mwanaume mwingine ambaye ndio chaguo lake na ndiye anayempenda na anamtosheleza kwa kila kitu, au mpenzi wa zamani ambaye labda walihaidiana kuoana na labda huyo mwanaume alikua nje labda masomoni akarudi akakuta wewe umeshambeba mchumba wake kama mwewe.
Kwa vyovyote mwanamke huyo akimkumbuka huyo mme wake wa zamani especially kama amekutana nae na kama alikua anampenda sana lazima akose hamu na wewe kabisa na mara nyingi kwa wanawake huzuni, simanzi na masikitiko yakizidi machozi yanatiririka hiyo kuna. factors nyingi zinazoweza kumfanya mwanamke awe hivyo.
Na dawa yake labda ni kuhama mkoa ili akae mbali na huyo mtu anayempenda kuliko wewe ambayo sio rahisi kuhama manake sometime utakuta umeshajiimarisha mkoa fulani kiuchumi au kikazi au kibiashara kwa kweli ni mazingira magumu.
Pole sana