Msaidieni huyu kijana

Msaidieni huyu kijana

abdi ally

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2018
Posts
1,563
Reaction score
2,169
Huyu kijana nilikutana nae katika gar miaka 5 imepita huko nyuma tukabadilishana mawasiliano kutokana na Kaz aliokuanafanya na mm kwa kazi niliokuwa nafanya zilishabihiana kiasi.

Tuliwasiliana kila wakati na hata alipotaka kuoa aliniambia na nikatoa mchango Kama rafiki wake wa karibu japo katika harusi sikuwepo kwa ajili ya majukumu ya kikaz.

Siku ,miez,mwaka ukapita juzi kanipigia simu ananiambia mkewe kawa kiburi kila wakati analalamika amechoka,ukimwambia kitu afanye atakwambia amechoka,anaweza akanuna bila sababu yeyote ya msingi.

Mnaweza mkawa ndani asianzishe mada mpka hutoe wazo mwanaume la sivyo kila mtu apo atakuwa bize na simu.

Unaweza ukamuita hata mara tatu asiitike hata Kama Yuko karibu mpka utumie sauti ya komand ndio aitike

Amejaribu mchunguza kwa kila namn a na kumshutikza katika simu yake hakukuta dalili ya mawasiliano ya mwanaume yeyote.

Ananiambia mkewe amekuwa kiburi Sana anaweza rudi na mzigo nyumbani na mwanamke akamuona na asimpokee mzigo na mwanamke akabaki anaongea na wenzie au kuchati na simu na akimuuliza jibu naomba nisamehe.

Akikosa na akikukwaza hawez omba msamaha na mnaweza kaaa siku hata tatu bila kuongea ila atapika,atafua,na kufanya usaf nyumba bila tatu.

Sasa jamaa amechoka ananiomba ushauri Mana had kwa mshenga kashepeleka taarifa na mwanmke alionywa akomba msamaha

Naomba tumsadie wadau afanyaje ili awe na furaha katika ndoa yake na ili hali mwanmke Ni single mother na jamaa anamcare mtoto wa mwanamke Kama mwanae.

Naleta kwenu wadau.
 
Mwanamke atakuwa amekuwa bored tu..

Jamaa achukue likizo atoke na mke wake,wakale bata hata week mbili.

Inachosha daily yuko yuko anafanya kitu hiko hiko kila siku.
Huwa wanatoka japo si Sana na binti hakuwa hvyo kabla ya ndoa mzee baba
 
Huyu kijana nilikutana nae katika gar miaka 5 imepita huko nyuma tukabadilishana mawasiliano kutokana na Kaz aliokuanafanya na mm kwa kazi niliokuwa nafanya zilishabihiana kiasi.

Tuliwasiliana kila wakati na hata alipotaka kuoa aliniambia na nikatoa mchango Kama rafiki wake wa karibu japo katika harusi sikuwepo kwa ajili ya majukumu ya kikaz.

Siku ,miez,mwaka ukapita juzi kanipigia simu ananiambia mkewe kawa kiburi kila wakati analalamika amechoka,ukimwambia kitu afanye atakwambia amechoka,anaweza akanuna bila sababu yeyote ya msingi.

Mnaweza mkawa ndani asianzishe mada mpka hutoe wazo mwanaume la sivyo kila mtu apo atakuwa bize na simu.

Unaweza ukamuita hata mara tatu asiitike hata Kama Yuko karibu mpka utumie sauti ya komand ndio aitike

Amejaribu mchunguza kwa kila namn a na kumshutikza katika simu yake hakukuta dalili ya mawasiliano ya mwanaume yeyote.

Ananiambia mkewe amekuwa kiburi Sana anaweza rudi na mzigo nyumbani na mwanamke akamuona na asimpokee mzigo na mwanamke akabaki anaongea na wenzie au kuchati na simu na akimuuliza jibu naomba nisamehe.

Akikosa na akikukwaza hawez omba msamaha na mnaweza kaaa siku hata tatu bila kuongea ila atapika,atafua,na kufanya usaf nyumba bila tatu.

Sasa jamaa amechoka ananiomba ushauri Mana had kwa mshenga kashepeleka taarifa na mwanmke alionywa akomba msamaha

Naomba tumsadie wadau afanyaje ili awe na furaha katika ndoa yake na ili hali mwanmke Ni single mother na jamaa anamcare mtoto wa mwanamke Kama mwanae.

Naleta kwenu wadau.
Duh? Ulivyosema "single mother" nikachoka! Single mother wana another complications ambazo ni vigumu kumuingiza kwa wake wanaoolewa bila watoto. Single mother sometimes anakuwa influenced na experience ya mahusiano yaliyopelekea kuzaa na kubeba jukumu la kulea bila mwenza wake aliyempa mimba. Kuna uwezekano pia wa mvuto kutoka kwa X wake unaweza kuingilia mahusiano yenu. Kama angekuwa hana mtoto ni kawaida kwa wanawake kuonyesha vitabia vya ajabu kama hivyo. Unavyopaswa kufanya ni kutimiza wajibu wako kama Mme na kichwa cha familia bila kusahau na kujiangalia miendendo yako kama hiko sawa kwasababu mke naye anaweza kuchukizwa akaanza kutuma ujumbe kwa vijitabia kama hivyo. Walimwengu husema: ISHI NA MWANAMKE KWA AKILI!
 
Kuna wanawake wako desperate kuolewa ila hawako tayari kuyaishi maisha ya ndoa.
Sasa uyo dada alitaka kuolewa tukashaolewa haja ya moyo wake imetimia sasa anajionea tabu kuwa mke wa mtu..
Wanawake tuolewe tukipendana na mwanaume sio kufata trend/kisa umri unaenda
 
Kuna wanawake wako desperate kuolewa ila hawako tayari kuyaishi maisha ya ndoa.
Sasa uyo dada alitaka kuolewa tukashaolewa haja ya moyo wake imetimia sasa anajionea tabu kuwa mke wa mtu..
Wanawake tuolewe tukipendana na mwanaume sio kufata trend/kisa umri unaenda
Hakuna anachokosa kabisa bajet kila kitu anapanga yeye na kupewa pesa na hiz hela za poket jamaaa kila wiki hakosi kumpa si chini ya laki kwa ajili dharura tu na gar anayo ya kutembelea lakini ndio hvyo

Na siku anaweza akaongea hata nikiachana na wew anasema hatokaa kuolewa Tena jamaaa anaumia Sana sababu anampenda sana
 
I doubt kama hao wanandoa wanashea culture!

Kwa hiyo both parties don't meet each other's expectations.

Cha msingi mshauri jamaa yako apunguze expectations kwa huyo mke wake. Mfano; atoe akilini kwamba atapokewa mizigo akirudi.

Mambo mengine wajaribu kutafuta common ground!
 
I doubt kama hao wanandoa wanashea culture!

Kwa hiyo both parties don't meet each other's expectations.

Cha msingi mshauri jamaa yako apunguze expectations kwa huyo mke wake. Mfano; atoe akilini kwamba atapokewa mizigo akirudi.

Mambo mengine wajaribu kutafuta common ground!
Nimemshaur Sana jamaaa yangu huyu
 
Hapo kutakuwa na tatizo upande wa mwanaume ambalo linamkwaza mwanamke kwa muda mrefu mshauri rafiki yako ajichunguze vizuri na amtengenezee mkewe mazingira ya tofauti ambayo yatamfanya kuwa muwazi kumwambia yote ya moyoni mwake yanayomkwaza
 
Tangu nichukue uamzi wa kuongeza mke maisha yangu yamebadilika sana,ninaishi kwa amani sana,leo nalala kwa bi mkubwa nilimtumia sms tu "andaa chakula nakuja" muda huu ndiyo nimefika maandalizi niliyoyakuta kana kwamba ndiyo tunaanza mahusiano kumbe ni eight years old,hapo mwaka 2016 mke alibadilika sana na kuwa mtu mwenye tabia za ajabu sana nilikuwa nampenda sana nilijitahidi kumvumilia lkn nilishindwa kidogo tu tuachane,baba mkwe (baba yake)alinisihi sana nisiacha na binti yake na alinishauri nioe mke wa pili maana yeye ana wake watatu,basi nikaamua kufuata ushauri wake nikatafuta mwanamke mmoja makini sana tangu hapo migogoro kwangu imekuwa historia zilizopo ni changamoto ndogo ndogo tu za kawaida.
Siwashauri wanaume wenzangu kufanya hivi bali najaribu kushare tu namna nilivyoweza kubadilisha maisha yangu kutoka kujutia ndoa mpaka kufurahia ndoa.
 
Hakuna anachokosa kabisa bajet kila kitu anapanga yeye na kupewa pesa na hiz hela za poket jamaaa kila wiki hakosi kumpa si chini ya laki kwa ajili dharura tu na gar anayo ya kutembelea lakini ndio hvyo

Na siku anaweza akaongea hata nikiachana na wew anasema hatokaa kuolewa Tena jamaaa anaumia Sana sababu anampenda sana
Mkuu ama mtu tunayemjadili kwa njia ya mzunguko ndiye wewe mwenyewe'nini!
Utajuaje hadi majibishano ya mtu na mkewe ambao wewe hauishi nao?
 
Back
Top Bottom