Msafara wa Rais Namibia vs nchini

Msafara wa Rais Namibia vs nchini

Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.

Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.

Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?

Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?

Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake.

Maswali ya kujiuliza ukiwa unajenga hoja:
1. Kama hofu ni ndani ya nchi inamaana Tanzania sio sehemu salama kuishi?
2. Kama anamaadui wengi itakuwaje kama asipochaguliwa 2020?
3. Nyerere na Magufuli ni yupi aliyekuwa strict kwa wabadhirifu na mafisadi?
Video ya Magu Namibia
 
Mimi naona Usalama wa huko wako kiteknolojia zaidi na wanaiamini na hapa shamba la bibi hawana teknolojia ya kutosha na iliopo pia hawaiamini au anaeisimamia hawamwamini pia.
Namuonea huruma jiwe kweli jamani, amejisikia vibaya kweli kukosa zile mbwembwe za usalama wa ccm, hurumaaa.
Wale sio washamba Wana exposure kubwa Na wako Kwa ajili wanyonge kivitendo sio kisiasa.
 
Akiwa nyumbani yuko kwenye risk kubwa zaidi kuliko akiwa Namibia,and hence the need for more security,it is as simple as that.Maadui zake huku ni wengi,wengi,wengi sana.
Kwanini asiwakamate hao maadui na kuwaweka jela?
 
Akiwafikiria ndugu wa Azory, Saanane, Mo, Mdude, Roma, Chinguye na wengine weengi lazima aweke batalioni imlinde hata ungekuwa wewe madamu yote ya wananchi wako hayo unapata kiburi Cha kuweka ulinzi wa kawaida????
 
Akiwafikiria ndugu wa Azory, Saanane, Mo, Mdude, Roma, Chinguye na wengine weengi lazima aweke batalioni imlinde hata ungekuwa wewe madamu yote ya wananchi wako hayo unapata kiburi Cha kuweka ulinzi wa kawaida????

Atastaafu nao?
 
Ni heri kuwa masikini mwenye mikono safi,kuliko kuwa Na vyote Lkn huna Amani ya moyo fear of unknown. Kuulinda udikteta ni gharama kubwa sana kuliko kuilinda demokrasia.
 
Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.

Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.

Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?

Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?

Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake.

Maswali ya kujiuliza ukiwa unajenga hoja:
1. Kama hofu ni ndani ya nchi inamaana Tanzania sio sehemu salama kuishi?
2. Kama anamaadui wengi itakuwaje kama asipochaguliwa 2020?
3. Nyerere na Magufuli ni yupi aliyekuwa strict kwa wabadhirifu na mafisadi?
Ukiwa mwizi utaogopa kuuwawa, ukiwa muuwaji utaogopa kuuliwa, jibu umepata
 
Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.

Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.

Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?

Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?

Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake.

Maswali ya kujiuliza ukiwa unajenga hoja:
1. Kama hofu ni ndani ya nchi inamaana Tanzania sio sehemu salama kuishi?
2. Kama anamaadui wengi itakuwaje kama asipochaguliwa 2020?
3. Nyerere na Magufuli ni yupi aliyekuwa strict kwa wabadhirifu na mafisadi?
Watu wote wa taifa zima la Namibia ambayo inaukubwa kama karibu na nchi yetu ni kidogo kuliko watu ndani ya wilaya ya Temeke. Hivyo suala la security siyo issue kubwa.
Enzi za Nyerere ubadhilifu na ufisadi ulikuwa not sofiscated na ulihusu watu wachache na mtandao mdogo ambao ulitumia technology hafifu ukilinganisha na enzi hizi za Magufuli. Hivyo kwa no. 3 Magufuli ni very strict kuliko Nyerere.
 
Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.

Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.

Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?

Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?

Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake.

Maswali ya kujiuliza ukiwa unajenga hoja:
1. Kama hofu ni ndani ya nchi inamaana Tanzania sio sehemu salama kuishi?
2. Kama anamaadui wengi itakuwaje kama asipochaguliwa 2020?
3. Nyerere na Magufuli ni yupi aliyekuwa strict kwa wabadhirifu na mafisadi?
kule hakuna ccm, ccm ndio chnzo cha kulaaniwa nchi hii na viongozi wake.
 
hivi mabinti si hakunaga tukhsa kutekwa

kwakuwa kuna ka ujumbe nakaweka hapa kanaweza kumkera Amir Shakpur
 
Majizi na wapiga dili mnataman kweli apunguziwe ulinzi ili japo mutupe jiwe lkn ndio hivyo Rais wetu acha alindwe we kama una nia ovu jaribu ili ujionee maajabu ya kipigo cha wireless
 
Majizi na wapiga dili mnataman kweli apunguziwe ulinzi ili japo mutupe jiwe lkn ndio hivyo Rais wetu acha alindwe we kama una nia ovu jaribu ili ujionee maajabu ya kipigo cha wireless
Jamaa kutokana
na Madhambi yakoe akiwa nje ankmakuwa na amani kuliko akiwa ndani huo ndio mshahara wa dhambi. Na bado.
 
Hapa nyie akiwatumbua munakasilika sana, kule hakuna alietumbuliwa,ndio maana bora alindwe sana tz
Hivi muda wake ukiisha anabaki na walinzi wangapi kama sio watatu!, URais ni Uongozi mbaya sana ukijitengenezea maadui maana kuna maisha ya hofu baada ya kutoka madarakani. Sijui Kama analitambua hili! JK alishamuonya mapema "usijitengenezee maadui maana kuna maisha baada ya kustaafu "
 
Back
Top Bottom