Msafara wa Rais Namibia vs nchini

Msafara wa Rais Namibia vs nchini

Ni mti wenye matunda.Huwezi kuondoa watu wenye vyeti fake,kubana mafisadi wa kila aina,including wezi wa mali zetu za asili na mali za serikali nk.nk.halafu watu waliokuwa wanafanya madudu hayo wakakupenda,it is so obvious.
Sawa, nimekuelewa.
 
Kama anaamini ushirikina hiyo hofu aliyokuwa nayo ni sawa, lakini hamna lolote zaidi ya kufuja fedha za umma kwa mbwembwe za kishamba.
Mbwembwe zipi za kishamba na fedha zipi za serikali alizofuja,hebu tuwekee hapa.Halafu aliyekuambia ana hofu ni nani,kama kuna security risk,ni lazima ulinzi uongezwe,that is usual,hukumuona Kim?
 
Huo ulinzi atastaafu nao?Ulinzi tosha ni kuwekeza Kwa jamii tenda haki,kataa uonevu,Mwinyi Jk hata kariakoo wanakatiza kiroho safi.Kuulinda udikteta ni gharama.

Unasemaje?

Mwinyi alilambishwa kofi moja matata pale msikitini,sembuse akatize Kariakoo kwa miguu.

JK apite kariakoo then akutane na Dr.Ulimboka(aliyeng'olewa kucha) nadhani unajua kifuatacho.
 
Kwan we hujui Kama huku Kuna wasiojulikana ??

Hata yeye anawaogopa
 
Mbwembwe zipi za kishamba na fedha zipi za serikali alizofuja,hebu tuwekee hapa.Halafu aliyekuambia ana hofu ni nani,kama kuna security risk,ni lazima ulinzi uongezwe,that is usual,hukumuona Kim?

Matumizi yoyote yanayozidi uhalisia ni ufujaji wa fedha za umma. Hiyo security risk ni ya kutengeneza ili kuhadaa umma kwamba kafanya makubwa mpaka ana maadui wa hivyo. Huo ulinzi wake ni wa kiongozi aliyeingia madarakani kwa kupindua nchi, na ni nchi yenye machafuko. Hatukatai ulinzi, lakini sio huo wa kufuja fedha ya umma. Mbona huko Namibia huo ulinzi haupo hivyo?
 
Ndo umuhimu wa kusafiri ajifunze na aache ushamba na ulimbukeni kutegemea vyombo vya dola......
Wasiojulikana mbona wapo na wapinzani tu na wakosoaji wa ushamba wa serikali?!
 
Mimi naona Usalama wa huko wako kiteknolojia zaidi na wanaiamini na hapa shamba la bibi hawana teknolojia ya kutosha na iliopo pia hawaiamini au anaeisimamia hawamwamini pia.

Namuonea huruma jiwe kweli jamani, amejisikia vibaya kweli kukosa zile mbwembwe za usalama wa ccm, hurumaaa.
 
Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.

Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.

Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?

Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?

Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake.

Maswali ya kujiuliza ukiwa unajenga hoja:
1. Kama hofu ni ndani ya nchi inamaana Tanzania sio sehemu salama kuishi?
2. Kama anamaadui wengi itakuwaje kama asipochaguliwa 2020?
3. Nyerere na Magufuli ni yupi aliyekuwa strict kwa wabadhirifu na mafisadi?
Watanzania tuna nini lakini ?kila kitu ufananishe na nyerere
wakati wa nyerere hakukua na tech kama ya leo
 
Matumizi yoyote yanayozidi uhalisia ni ufujaji wa fedha za umma. Hiyo security risk ni ya kutengeneza ili kuhadaa umma kwamba kafanya makubwa mpaka ana maadui wa hivyo. Huo ulinzi wake ni wa kiongozi aliyeingia madarakani kwa kupindua nchi, na ni nchi yenye machafuko. Hatukatai ulinzi, lakini sio huo wa kufuja fedha ya umma. Mbona huko Namibia huo ulinzi haupo hivyo?
Well said Mkuu
 
Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.

Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.

Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?

Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?

Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake.

Maswali ya kujiuliza ukiwa unajenga hoja:
1. Kama hofu ni ndani ya nchi inamaana Tanzania sio sehemu salama kuishi?
2. Kama anamaadui wengi itakuwaje kama asipochaguliwa 2020?
3. Nyerere na Magufuli ni yupi aliyekuwa strict kwa wabadhirifu na mafisadi?
Tanzania hakuna amani,wamebaki wanaihubiri kwa midomo tu huku matendo yao yakionesha nchi ipo kwenye vita
 
Rais wa Marekani ana ulinzi mkali akiwa Marekani kuliko akiwa ziarani nje ya nchi...katika nchi yoyote Kiongozi anakua na maadui wengi ndani ya nchi kuliko nje ya nchi sababu kubwa ni kwamba nchi mwenyeji inaimarisha usalama ili kuepuka migogoro ya kidiplomasia kama kiongozi akishambuliwa nchini kwao....Over
 
Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.

Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.

Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?

Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?

Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake.

Maswali ya kujiuliza ukiwa unajenga hoja:
1. Kama hofu ni ndani ya nchi inamaana Tanzania sio sehemu salama kuishi?
2. Kama anamaadui wengi itakuwaje kama asipochaguliwa 2020?
3. Nyerere na Magufuli ni yupi aliyekuwa strict kwa wabadhirifu na mafisadi?

#hakuna nchi yenye misingi ya utawala bora itamkubalia rais dikteta kuja na walinzi wake wenye silaha hadharani. kitu ambacho hukijui ni kwamba ule msururu wa wanajeshi na silaha hadharani na vifaaa vingine vya kijeshi anavyotamba navyo hapa nyumbani sio ulinzi. Tanzania yetu haijawahi kuwa hatari kwa rais wa nchi kustahili ulinzi wa ina ile.

#anachokifanya magufuli ni kujenga hofu na kutoa matisho. ni kuwafanya wananchi na kila mtu amwogope. ni rais asiye na uwezo wa ushawishi. hana uwezo wa kujenga hoja. hana uwezo wa kutumia akili na ushawishi kuwafanya wengine wakubaliane naye. hawezi mijadala anajua mari tu. anajua hakushinda urais kihalali. anajua hana uwezo wa kushinda kihalali. hivyo utawala wake unategemea nguvu na matisho ya jeshi.

#mwache azoeshe wananchi kuona silaha na matisho. wakishazizoea wataziona kama midoli na hawaziogopa wala kumwogopa yeye.
 
Rais wa Marekani ana ulinzi mkali akiwa Marekani kuliko akiwa ziarani nje ya nchi...katika nchi yoyote Kiongozi anakua na maadui wengi ndani ya nchi kuliko nje ya nchi sababu kubwa ni kwamba nchi mwenyeji inaimarisha usalama ili kuepuka migogoro ya kidiplomasia kama kiongozi akishambuliwa nchini kwao....Over
"Rais wa Marekani ana ulinzi mkali akiwa Marekani kuliko akiwa ziarani nje ya nchi.."

Hizi habari peleka kwenye vijiwe vya kahawa sio humu jf
 
Back
Top Bottom