Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,417
Sawa, nimekuelewa.Ni mti wenye matunda.Huwezi kuondoa watu wenye vyeti fake,kubana mafisadi wa kila aina,including wezi wa mali zetu za asili na mali za serikali nk.nk.halafu watu waliokuwa wanafanya madudu hayo wakakupenda,it is so obvious.