Maadui gani nyie?...pumbavuuu. Acheni kuabudu Watu..nyumbani ana maadui wengi kuliko ugenini
Si anawafuğa mwenyew hao mamba hofu yannHuku anaogopa watu wasiojulikana
Lakini kwanini maadui awe nao wengi hivo?Akiwa nyumbani yuko kwenye risk kubwa zaidi kuliko akiwa Namibia,and hence the need for more security,it is as simple as that.Maadui zake huku ni wengi,wengi,wengi sana.
Halafu naomba kuuliza "atarudi tena huku huyu?"Huo ulinzi atastaafu nao?Ulinzi tosha ni kuwekeza Kwa jamii tenda haki,kataa uonevu,Mwinyi Jk hata kariakoo wanakatiza kiroho safi.Kuulinda udikteta ni gharama.
Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.
Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.
Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?
Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?
Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake
Muulize aliyeachiwa mikoba ya ofisi kifutu mdogoHalafu naomba kuuliza "atarudi tena huku huyu?"
Which is which?Huku anaogopa watu wasiojulikana
Watanzania kweli tu maiti. Kama huyu jamaa atarudi tena!!!?Muulize aliyeachiwa mikoba ya ofisi kifutu mdogo
Lakini kwanini maadui awe nao wengi hivo?
Hofu ni ugonjwa mbaya sana.Fear of unknown. Jinsi gani unawatendea watu wako ndivo uditermine ulinzi wako uwaje.Mzee Ruksa JK twacheza nao bao, twasali pamoja msikitini kama wenzetu tu.Kwani huku huwa inasababishwa na nino. au mambo ya kiusalama ya siri hatupaswi kujua raia kwa nini Rais wetu analindwa kwa silaha nzito za wazi.
Aishi huko huko. Asirudi huku kama maadui wake wengi wapo TZ.Akiwa nyumbani yuko kwenye risk kubwa zaidi kuliko akiwa Namibia,and hence the need for more security,it is as simple as that.Maadui zake huku ni wengi,wengi,wengi sana.
Kwanini haukuwepo hapo kabla?
Hapa nyie akiwatumbuamunakasilikasana, kule hakuna alietumbuliwa,ndio maana bora alindwe sana tz
.Nimeona msafara wa Rais akiwa nchini Namibia. Hakuna walinzi wanaoning'inia hakuna watu wenye silaha za kivita.
Hakuna speed za ajabu kuwasha mataa na vingora vya hatari.
Nimeshindwa kuelewa tumeshindwa nini kuyatimiza haya nyumbani?
Ina maana hatuwaamini wanausalama wetu lakini wa Namibia tuna waamini?
Natumaini atakuwa amefungua macho kwa hii safari na atarudi na fikra mpya juu ya gharama za misafara yake