Oh My God, Mungu aipumzishe kwema roho ya marehemu mtoto. Naona Sindibadi ashachanganyikiwa, tujuzeni kama TV za bongo na magazeti yataripoti juu ya hii!
Kamanda;
Nimeangalia ITV; TBC1 na Channel 10 hakuna kituo kilichotangaza. Huenda habari hii haina uzito kwao . . . . ingawa habari za mgombea Urais kupitia wa ticketi ya CCM zimetangazwa . . . .
Mpaka uchaguzi uishe . . . . tutasikia mengi.
Kamanda;
Nimeangalia ITV; TBC1 na Channel 10 hakuna kituo kilichotangaza. Huenda habari hii haina uzito kwao . . . . ingawa habari za mgombea Urais kupitia wa ticketi ya CCM zimetangazwa . . . .
Mpaka uchaguzi uishe . . . . tutasikia mengi.
Muda mfupi uliopita, msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukielekea Kamachumu umeua mtoto wa shule ya msingi katika maeneo ya Muhutwe - Muleba Kaskazini.
Hii ni habari ya kusikitisha na ninawapa pole wafiwa. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
Mdau: Darlene Kisha
Chanzo: Blog ya Haki Ngowi
Kaka, habari hiyo imo humo, sijui site gani unayoenda wewe. Nenda hapa halafu search neno "msafara."Maxence;
Angalia usije ukawa umefungwa baao la kisigino.
Nimeangalia Blog ya Haki Ngowi haina habari hiyo . . . Ama ni uvumi . . . ama habari hiyo imeondolewa . . . .
wewe umetokea wapi unatuchafulia hewa umevimbiwa maharage nini nyumi la kikwete ndilo kitu gani.hapo ndo kampeni zinashika kasi
watu wanapagawa na nyumi la kikwete
This is itKaka, habari hiyo imo humo, sijui site gani unayoenda wewe. Nenda hapa halafu search neno "msafara."
Hata MWANANCHI gazeti NGULI lisilofungamana na upande wowote na Tanzania Daima... Hawajaandika chochote...
Kwani yeye ndo alisababisha ajali? Was he driving? Hii hukumu sikuipenda.huenda ikawa ndo dawa ya kuanguka kwake kwenye majukwaa.
Nenda jongo nenda, nenda muuaji nenda
Mkuu, mbona unatoa hitimisho baya namna hii?
Ajali za barabarani ziko kila mahali, na ukizingatia kwamba misafara ya viongozi inakuwa kasi sn, ajali huwa hazikwepeki. Ajali za namna hii zimewapata akina Mudhihir, Kapuya, Sitta n,k, sasa kuna nini cha ajabu kwa Kikwete?
Anazo ID nyingine sasa anaitwa JeykeyLeo mbona malaria sugu aonekani?mods mmemficha wapi?