BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Leo mbona malaria sugu aonekani?mods mmemficha wapi?
Malaria Sugu anatafakari yaliotokea JANGWANI kudondoka kwa mheshimiwa bado hajapata nguvu :becky::becky::becky::becky:
Leo mbona malaria sugu aonekani?mods mmemficha wapi?
Ni ishara mbaya sana kwa ccm. Tutegemee mabaya mengi toka ccmMuda mfupi uliopita, msafara wa Rais Jakaya Kikwete ukielekea Kamachumu umeua mtoto wa shule ya msingi katika maeneo ya Muhutwe - Muleba Kaskazini.
Hii ni habari ya kusikitisha na ninawapa pole wafiwa. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
Mdau: Darlene Kisha
Chanzo: Blog ya Haki Ngowi