Dah huo msafara Madikteta bana Yani hayajiamini popote pale Iwe kwenye sanduku la kura, Uhuru wa habari Na hata misafara.
kwan Chechnya ni nje ya urusi?Sijaona kufuru hapo, fatilia misafara aliyofanya Obama au Trump wakiwa nje ya ardhi ya America ndio utaona kufuru
Kwahiyo unataka mchungi agombee tena?Russia ni katiba yao,German waziri mkuu kikomo ni 4 times, sasa kwetu kipo wametudanganya nini what about America na Japan nao wamedanganywa?Huku ulaya wameshaachana na maswala ya demokrasia, wanatudanganyia sisi tu,Putin mwakani anagombea muhula wa nne wa urais, hiyo ni baada ya kuwa rais kwa awamu mbili, baadaye kuwa waziri mkuu, na kurejea kuwa Rais, tena, Angela Merkel naye muhula wa tatu, malkia anakwenda mwaka wa 64 huu madarakani, wacha sisi tuendelee kupoteza muda na mzigo ambao waanzilishi wenyewe wameshaachana nao.
Kuna aina nyingi ya Democrasia, usisema Ulaya hamna demokrasia kwa Ku refer malkia wa Uingeleza eti kaa miaka 64 huku ukijua kabisa umalkia na ufalme haushindaniwi kwenye sanduku la kula. Kwa kesi ya Ujerumani katiba yao inawaruhu Ku save kwa vipindi 4. France Macron kaingia juziHuku ulaya wameshaachana na maswala ya demokrasia, wanatudanganyia sisi tu,Putin mwakani anagombea muhula wa nne wa urais, hiyo ni baada ya kuwa rais kwa awamu mbili, baadaye kuwa waziri mkuu, na kurejea kuwa Rais, tena, Angela Merkel naye muhula wa tatu, malkia anakwenda mwaka wa 64 huu madarakani, wacha sisi tuendelee kupoteza muda na mzigo ambao waanzilishi wenyewe wameshaachana nao.
Japan PM wa sasa ameshika madaraka mara 3,Kwahiyo unataka mchungi agombee tena?Russia ni katiba yao German waziri mkuu hana kikomo sasa kwetu kipo wametudanganya nini what about America na Japan nao wamedanganywa?
wewe upo ulaya au lumumba kwa wanywa kahwa na kashataHuku ulaya wameshaachana na maswala ya demokrasia, wanatudanganyia sisi tu,Putin mwakani anagombea muhula wa nne wa urais, hiyo ni baada ya kuwa rais kwa awamu mbili, baadaye kuwa waziri mkuu, na kurejea kuwa Rais, tena, Angela Merkel naye muhula wa tatu, malkia anakwenda mwaka wa 64 huu madarakani, wacha sisi tuendelee kupoteza muda na mzigo ambao waanzilishi wenyewe wameshaachana nao.