Smartkahn
JF-Expert Member
- Jun 22, 2020
- 877
- 1,472
Sijajua ni nani ni wapi ni lini na ni kwanini Ila nimeona ni kivipi msafara ule ulivyozua taharuki kwa wanausalama, na waongozaji wakiwa katika hekaheka, kiasi kwamba wako baru wasijari hata usalama wa watumia balabara ile.
Kwa kutumia hisia na ufahamu wangu huenda ule msafara ni wa Rais.
Wahusika wawe makini na wawajibike kwa weledi.
Kwa kutumia hisia na ufahamu wangu huenda ule msafara ni wa Rais.
Wahusika wawe makini na wawajibike kwa weledi.