Msafara wa Lowassa Pemba Kufuru Mbaya

Msafara wa Lowassa Pemba Kufuru Mbaya

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Hili balaa halijawahi kutokea tangu zanzbar inapata Uhuru. Lowasaa aweka historia bila chembe ya msanii
 

Attachments

  • 1443892053063.jpg
    1443892053063.jpg
    25.8 KB · Views: 3,048
  • 1443892065800.jpg
    1443892065800.jpg
    27.3 KB · Views: 3,113
  • 1443892078713.jpg
    1443892078713.jpg
    35.5 KB · Views: 3,108
Lowassa ni kama binadamu anayeishi kwenye sayari nyingine.

Karama yake ya kupendwa na watu haina mfano wa kiongozi mwingine yeyote ambaye amewahi kupatikana tokea nchi hii ipate uhuru wake mwaka 1961.

Hiyo ndiyo inafanya viongozi wengi wa CCM kipindi hiki hawapati hata lepe la usingizi.
 
Najisikia fahari sana kwangu mimi kuwa kwenye timu ya ushindi.
Sijutii kumpenda Lowassa maana kila siku anazidi kunifurahisha.
Najiandaa kwenda kushuhudia akiapishwa panapo majaaliwa.
 
Kwa hivi sasa naamini hata hao maccm watakuwa wanaona aibu sana kutokana na propaganda zao za kitoto walizozieneza sana kuwa Lowassa anaumwa.

Hivi ni mtu gani mwenye magonjwa (kama anavyodaiwa Lowassa) angeweza kuhimili mikikimikiki hii ya kampeni anayoimudu Lowassa kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa tokea kampeni hizi za uchaguzi zianze?
 
Mwamunyange yupo upande wenu?ongereni sanaaa jamani ongereni sana
Je mbona sasa mbowe alikuwa anasema wanajeshi wamepewa tume ya uchaguzi?na wamesambazwa nchi nzima?au mbowe analopoka tu ila nyie ndio wakweli?ongereni makamanda kwa kumchukua mjeda huyo nadhan sasa malalamiko anayoyatoa mnyika na mbowe yameisha
 
Ninavyowapenda nyie n kuwa mnapenda sana kujifariji alafu kesho mnaanza kulalamika tena yaan hapo mm ndo kicheko sana sanaaa.juzjuz mbowe kasema tume na wasimamiz wakubwa wa nec n wajeda leo hiii mnasema mnyange yupo kwenu duuuh n ushangao mkubwa wafuasi wanajua alafu mwenyekiti wao hajui?kweli maajabu
 
Hata Shetani Pia Yupo Upande Wenu Na Ndiyo Maana Kwa Laana Za Mwenyezi Mungu Mgombea Wenu Haishi Kutoa Haja Kubwa Majukwaani.

Baba'ko yeye atatoa mbele za watoto wake wa kike na mawifi zao😀
 
Hata Shetani Pia Yupo Upande Wenu Na Ndiyo Maana Kwa Laana Za Mwenyezi Mungu Mgombea Wenu Haishi Kutoa Haja Kubwa Majukwaani.
Unamuaibisha simba,haya maneno yanatakiwa yatolewe na nguchilo au kicheche.
 
Back
Top Bottom