Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 853
- 1,636
Leo oktoba 01, 2025 Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi, (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan atawasili katika Mkoa wa Arusha Katika Jimbo la Arusha Mjini kuanza Mikutano yake ya Kuomba Kampeni kuomba Kura kwa Wananchi. Kupitia Ujio huo Wadau mbali mbali wa sekta ya Utalii Nchini Mkoani Arusha wametoa magari ya Utalii zaidi ya mia moja kwenye Mapokezi ya Dkt. Samia Mkoani humo.