Me nikijana mwenye umri wa miaka 22, natafuta kazi yoyote ili nipate kipato niweze kilipa ada yangu ya chuo nipate cheti na niweze kuendelea na Diploma nimesimama kutokana na kutokuwa na pesa....nisaidieni wadau mana nimeangaika kutafuta kazi laki sifanikiwi, nimesoma Business Administration ngazi ya cheti , nilipo anza Diploma nimeshindwa mana pesa nilio achiwa imeisha..