Dominick 1986
Member
- Jun 1, 2016
- 12
- 47
0767550599 check nao hao jamaa watakusaidia kwa bei nafuu sana mjukuu wangu
Wanapatikana Kariakoo Dar es salaamAsante babu wanapatkana dar au wap?
Kaka Lachuma komeo naomba kama una mawasiliano nao, namba ya sim n. K unisaidie maana nataka nitume mtu.kuna duka hapa JM MALL nadhan utapata linaitwa freedom . mimi nlinunua HDMI pale lakini wanazo aina mbalimbali.
mkuu hii kitu kama TV haina audio output kama zile port za headphone inaweza saidiaa.. kuhamsha sauti kwenda kwenye hometheater..????
kwn iyo picha bla kingamuz ingepokelewa na tv?? sauti pia inapokelewa km iyo picha inavopokelewaIvi mnataka tv iwe na audio autput...mi najua sauti inatoka kwenye king'amuzi au deki ndio unaingiza kwenye home Theatre...tv inapokea pcha tu.kwann unataka sauti toka kw tv kwenda kw radio yko??
Au una tv za magumashi zina deck au king'amuzi umoumo kwenye tv km tv za star times zilizozindulia wiki iliopta?Kwann unataka suti ipokelewe kwenye tv ndipoiende kwenye Theater?? Kwann isitoke kw king'amuzi au deki ikaenda kw theatre yko..mm najua kuna waya3 kutoka kwenye deki au king'amuzi,wa picha na mbili za sauti..wa picha ingiza kw tv na za sauti weka kw theatre....
No sio ya magumash...Au una tv za magumashi zina deck au king'amuzi umoumo kwenye tv km tv za star times zilizozindulia wiki iliopta?
Tv yangu n LG 43LF540v LED ya mwaka 2015No sio ya magumash...
Sasa nmekupata vzr..tumia HDMI..No kwa saiv bado sina king'amuz..natumia flash. kwenye tv coz kwenye tv haibagui video video ainayoyote ina play tofut na hometheater ina chagua baadh ya video... so nataka nikchomeka flash kwenye tv nitumie saut ya hometheater lakn tv yngu haina port zle za headphone... za waya wa two ina one....