Msaada

Msaada

mpa2013

New Member
Joined
Mar 27, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Hivi ukiwa na mpenzi wako then anakua na tabia ya kuuliza uliza kuhusu may be dada flani anaishi wapi au kaka flani anaishi wapi, au anaishi na nani,? alafu anaongea na boy mwingine saa tano za usiku alafu mbele yako then anakua anakusifia sifa ambazo hajawahi kukwambia, hivi huyo mtu anakua katika kundi gani?
 
hivi ukiwa na mpenzi wako then anakua na tabia ya kuuliza uliza kuhusu may be dada flan anaishi wapi au kaka flan anaishi wapi, au anaishi na nani,? afu anaongea na boy mwingine saa tano za usiku afu mbele yako then anakua anakusifia sifa ambazo hajawahi kukwambia, hivi huyo mtu anakua katika kundi gani?

Anakuwa katika kundi la wauliza maswali
 
Hiyo ya kuongea na boy mwengine saa tano usiku. Siku fichi, anatafuta mpango wa pembeni. Halafu anakuanga kundi la kaumbea kidogo.
 
hm..huyo ni mmbea balaa na mnafiki..uwe unamuuliza na weweee,anataka kujua ya nn!..na hyo ya saa tano mbona hakusifii in person anawaambia wengne hm!
 
Nawe unakuwepo wakati unasifiwa kwa hao boys wengine?

Anyway its a boys girls thing mkikua mtaacha.
 
Hivi ukiwa na mpenzi wako then anakua na tabia ya kuuliza uliza kuhusu may be dada flani anaishi wapi au kaka flani anaishi wapi, au anaishi na nani,? alafu anaongea na boy mwingine saa tano za usiku alafu mbele yako then anakua anakusifia sifa ambazo hajawahi kukwambia, hivi huyo mtu anakua katika kundi gani?

Na hayo yote anayokuambiaga wewe pia ya uongo
 
Mmh kundi gan tena?
la muuliza maswali ama cjaelewa
 
Back
Top Bottom