Msaada!

Msaada!

Pole sana Mkuu.@Mkereketwa_Huyu kama upo Dar nenda Kariakoo kwa wauza dawa za kienyeji mitishamba

Wakwere na waziguwa kawaulize dawa moja ya unga inayoitwa kwa jina hili Mripu ununuwe uwe unauchoma kwenye moto

kila asubuhi na usiku kwa kumuita huyu unayemataka mara 3 uchome kwenye moto. Huku unasema hivi Ewe

Mripu nenda kamripiuwe (fulani jina la mwanamke )

unataja huyo unaye mpenda jina lake kisha unasema kamripue huyuu (Fulani) Moyo wake anipende mimi na aje hapa kwangu

mimi haraka ninakutuma wewe Mripu mripue huyu (fulani) anipende mimi na aje hapa kwangu mimi (Fulani) unataja jina lako Mripu mlete haraka huyu ( fualani jina la mwanamke).

fanya hivyo kwa muda wa siku 3 kisha uje hapa unipe feedback.
 
Pole sana Mkuu.@Mkereketwa_Huyu kama upo Dar nenda Kariakoo kwa wauza dawa za kienyeji mitishamba

Wakwere na waziguwa kawaulize dawa moja ya unga inayoitwa kwa jina hili Mripu ununuwe uwe unauchoma kwenye moto

kila asubuhi na usiku kwa kumuita huyu unayemataka mara 3 uchome kwenye moto. Huku unasema hivi Ewe

Mripu nenda kamripiuwe (fulani jina la mwanamke )

unataja huyo unaye mpenda jina lake kisha unasema kamripue huyuu (Fulani) Moyo wake anipende mimi na aje hapa kwangu

mimi haraka ninakutuma wewe Mripu mripue huyu (fulani) anipende mimi na aje hapa kwangu mimi (Fulani) unataja jina lako Mripu mlete haraka huyu ( fualani jina la mwanamke).

fanya hivyo kwa muda wa siku 3 kisha uje hapa unipe feedback.


Haya walengwa, Paloma, Preta, na wengineo. Mkianza kuweweseka tu na hamtaki kwenda kwa Mkereketwa_Huyu mje hapa muiweke bayana adha yenu ili Dr. MziziMkavu amipatie kinga.
 
Pole sana Mkuu.@Mkereketwa_Huyu kama upo Dar nenda Kariakoo kwa wauza dawa za kienyeji mitishamba

Wakwere na waziguwa kawaulize dawa moja ya unga inayoitwa kwa jina hili Mripu ununuwe uwe unauchoma kwenye moto

kila asubuhi na usiku kwa kumuita huyu unayemataka mara 3 uchome kwenye moto. Huku unasema hivi Ewe

Mripu nenda kamripiuwe (fulani jina la mwanamke )

unataja huyo unaye mpenda jina lake kisha unasema kamripue huyuu (Fulani) Moyo wake anipende mimi na aje hapa kwangu

mimi haraka ninakutuma wewe Mripu mripue huyu (fulani) anipende mimi na aje hapa kwangu mimi (Fulani) unataja jina lako Mripu mlete haraka huyu ( fualani jina la mwanamke).

fanya hivyo kwa muda wa siku 3 kisha uje hapa unipe feedback.


Duh, hii kali. Mimi nilikuwa nataka yeye tu anipende bila hata kutumia miti shamba ama nguvu za giza.
 
Hivi wanaume wa kizazi hiki wamekutwa na nini? Yaani kujiamini na kutongoza imekuwa ni kama zoezi la kuchinja kobe.
Utabaki unalialia hapa wenzako wanaendelea kumkamua huyo P.
hahahahaaaaaaaaa!!!dady!!!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom