Bornagain sasa itakuwaje nikiitwa?!!
Watakuuliza kutokana na CV yako ilivyo, wala usiwe na wasiwasi, we kila kazi tuma tu, interview sio kesi ukisema ukishindwa utapelekwa Jela, na itakusaidia kukupa kujiamini kwa maana utazoea mazingira ya usahili
Nimeipenda sana hii kitu eti interview sio kesi ukisema ukishindwa utapelekwa jela.Ndugu yangu Jasnira ukiitwa kwenye interview ujue ni one step ahead, hapo unajiandaa kwa kusoma,kuifahamu vizuri kampuni iliyoikuita its mission na vission yake yaani in short ukishajiandaa vizuri na ukajibu vizuri hakuna shida kazi ukipata lazima upewe training hata ya wiki na wazoefu wa kazi then unaendelezea na wewe
Eti nafasi ya ajira inapotangazwa na kuhitaji mtu mwenye experience labda ya miaka kadhaa.Mie ambae sina experience ninaweza kuapply hapo kweli au ndio nisubiri hadi ambazo hazihitaji experience?!!