MSAADA

MSAADA

Vanclassic

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
88
Reaction score
200
wakuu habari za wakt huu,
Nina shida kidgo kwenye PC yangu

Jana nilikuwa naangalia movie usiku ilipoisha nikazima nikalala sasa Leo mimeamka nawasha haiwaki kbsa ila port za.usb zote zinafanya Kaz ukiweka simu chaji inajaa ila mashine haiwaki....tatzo nin wakuu pc ni HP
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom