Jimmy George Sanga
Senior Member
- Jan 28, 2022
- 134
- 251
Habari za wakati huu wakuu, kwa wakubwa zangu shikamooni na wadogo zangu mambo vipi.
Baada ya miaka minne ya kukomaa shamba na kuambulia mabua, sasa naona ni muda muafaka wa mimi kujaribu bahati yangu kwenye gurudumu hili la utumishi kama wengine walivyojaribu.
Nimekuja mbele yenu kuomba msaada hasa kwa wanasheria/wakili ili nipigiwe muhuri kwenye vyeti vyangu vya taaluma ili niwe na sifa ya kuomba kazi za utumishi.
Natanguliza shukran zangu za dhati kwa yule atakaependezwa kunisaidia kwani hali mtaani si nzuri kwa kweli.
Napatikana kwa namba 0624413843 whatsap/call
Mungu awabariki sana.
Baada ya miaka minne ya kukomaa shamba na kuambulia mabua, sasa naona ni muda muafaka wa mimi kujaribu bahati yangu kwenye gurudumu hili la utumishi kama wengine walivyojaribu.
Nimekuja mbele yenu kuomba msaada hasa kwa wanasheria/wakili ili nipigiwe muhuri kwenye vyeti vyangu vya taaluma ili niwe na sifa ya kuomba kazi za utumishi.
Natanguliza shukran zangu za dhati kwa yule atakaependezwa kunisaidia kwani hali mtaani si nzuri kwa kweli.
Napatikana kwa namba 0624413843 whatsap/call
Mungu awabariki sana.