msaada

msaada

Kadamfu

Senior Member
Joined
Nov 18, 2011
Posts
117
Reaction score
31
nina2mia app ya opera kwenye cm yangu lkn tatizo haiwezi kudownload why
 
kama opera yako ni ya java inamaana unadownload picha miziki na sauti ila hutaweza kudownload vitu kama games na application za java maana itakutoa kwenye opera na kukuleta katika built in browser, kuweza kudownload mafile ya java kwa simu yako download ucweb au qq browes hii hapa link ya ucweb http://m.ucweb.com kama una tatizo zaid post aina ya simu yako
 
Back
Top Bottom