habari zenu jamani,nna tatizo moja,moyo wangu unauma sana,yaan kama nimepewa taarifa mbaya vile,au nna huzuni flani,lakini hapana,niko bila tatizo,but moyo wangu unauma sana,ndo nini hiki?help me doctorz..
habari zenu jamani,nna tatizo moja,moyo wangu unauma sana,yaan kama nimepewa taarifa mbaya vile,au nna huzuni flani,lakini hapana,niko bila tatizo,but moyo wangu unauma sana,ndo nini hiki?help me doctorz..