CBE inazungukwa na upanga, kariakoo, Minazi mmoja na PostaIviii wakuuu km mtu umechaguliwa chuo cha CBE unaweza kupanga au kuishiii maeneo ganiii mazuriii kwa maana ya usalama na urahisi wa kufika chuoniii .....msaada plz
Hicho sio chuo mkuu,omba kubadiliDar kaka
Nyinyi ndio Wachawi tunaowaongelea kila siku?Hicho sio chuo mkuu,omba kubadili